Ilikuwa sahihi kocha Pablo kupiga teke kiti?

Ilikuwa sahihi kocha Pablo kupiga teke kiti?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Kocha Pablo amepiga teke kiti wakati mechi ikiwa inaendelea. Hebu tukumbushane maana sikumbuki aina ya adhabu aliyopewa na TFF, bodi ya ligi au serikali kwa kitendo kile alichokifanya siku Ile. Kiti ni Mali iliyokusudiwa kuharibiwa kwa sababu zisizofahamika.

Haifahamiki hasa kwanini alikipiga kiti teke, kwani alitumia kiti kufikisha ujumbe wake, alikiona kiti Cha plastic hakukuwa na hadhi yake? aliwadharau waliokileta? Aliidharau mechi? aliwadharau waamuzi? Aliidharau TFF au aliidharau Tanzania?

Je, ilikuwa lazima kwake kukipiga kiti teke?
 
Sisi kama Simba tumeshamnunua Pablo punching bag, atakuwa analitundika kwenye benchi la ufundi katika kila mechi...

Tukuona haisaidii basi tutaanzisha Simba Wrestling Club, na Pablo atakuwa kocha wetu

😂😂😂
 
Ifike hatua walemavu wa akili waonewe huruma wana haki ya kuajiriwa pia.
 
Kocha Pablo amepiga teke kiti wakati mechi ikiwa inaendelea. Hebu tukumbushane maana sikumbuki aina ya adhabu aliyopewa na TFF, bodi ya ligi au serikali kwa kitendo kile alichokifanya siku Ile. Kiti ni Mali iliyokusudiwa kuharibiwa kwa sababu zisizofahamika.

Haifahamiki hasa kwanini alikipiga kiti teke, kwani alitumia kiti kufikisha ujumbe wake, alikiona kiti Cha plastic hakukuwa na hadhi yake? aliwadharau waliokileta? Aliidharau mechi? aliwadharau waamuzi? Aliidharau TFF au aliidharau Tanzania?

Je, ilikuwa lazima kwake kukipiga kiti teke?
Alijua kuwa lazima kuna bwege atakereka aanze kuuliza maswali ya kipumbavu.... Naona unafanya kazi yako vyema
 
.............Mudi anasemaje kuhusu huyu mwamba kutoka Madrid Z?
FB_IMG_1642507977682.jpg
 
Wawe makini Kuna siku atampiga kichwa boss
 
angekuwa ni mwinyi zahera au salum mayanga au yule Mbeya city ndiyo wamefanya kitendo kile TFF ya karia ingetoa adhabu ya kunyongwa ..
 
Waswahili mshaanza maneno, unajua hasira wewe? Mie nilivunja TV niliyonunua million 1.3 kwa hasira.
TV ni yako mwenyewe na mkeo, lakini kiti sio chake. Hata kalamu isiyo ya kwako kuivunja ni kosa. Wachezaji wakiudunda chiini mpira kwa hasira wanapewa kadi ya njano, huyu aliyepoga teke
 
Back
Top Bottom