Msudu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2021
- 1,050
- 1,705
Manara anaipenda sana SimbaKwa mujibu wa Haji Manara suluhisho la ku mdhibiti kocha Pablo ni kumfunga kamba asilete madhara zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara anaipenda sana SimbaKwa mujibu wa Haji Manara suluhisho la ku mdhibiti kocha Pablo ni kumfunga kamba asilete madhara zaidi.
Lipo wazi hiloPablo ni mlemavu wa akili?
Hasira gn hizo? Hata kupiga kiti kisa hasira ni upimbiWaswahili mshaanza maneno, unajua hasira wewe? Mie nilivunja TV niliyonunua million 1.3 kwa hasira.
Wewe ulitaka afanywaje mkuu?!TV ni yako mwenyewe na mkeo, lakini kiti sio chake. Hata kalamu isiyo ya kwako kuivunja ni kosa. Wachezaji wakiudunda chiini mpira kwa hasira wanapewa kadi ya njano, huyu aliyepoga teke
Tunatofautiana sana mkuu, mie kuisambaza simu kwa kuipigiza ukutani au hata chini ni kitu cha kawaida mnoo.Hasira gn hizo? Hata kupiga kiti kisa hasira ni upimbi
Hatukatai watu kuwa na hasira, lakini baada ya kisa ni mkasa. Hata ukiipigiza chini simu yako lazima Kuna adhabu ya kukosa mawasiliano na kununua simu nyingine. Mchezaji akimfanyia hasira mwamuzi au mchezaji mwenzake uwanjani Kuna adhabu anapewa. Je, huyu choko Pablo alipewa adhabu gani kwa kupiga teke kiti mbele ya kadamnasi?Tunatofautiana sana mkuu, mie kuisambaza simu kwa kuipigiza ukutani au hata chini ni kitu cha kawaida mnoo.
Alichofanya Pablo ni dharau kubwa sana kwetu na TFF. Sijawahi kuona kocha huko Ulaya akipiga teke kiti uwanjani kama vile hata kama kutokee nini. Na kama yupo atakuwa kapewa adhabu ya kulipa pesa.angekuwa ni mwinyi zahera au salum mayanga au yule Mbeya city ndiyo wamefanya kitendo kile TFF ya karia ingetoa adhabu ya kunyongwa ..
Kupewa adhabu yenye faida kwenye mpira, angelipa 10ml ingekuwa fundisho kwake na kwa wengine. Hawa wazungu wanadhani sisi ni dhaifu sana na WA hovyo, inferior kwa wazungu. Ndiyo maana hata yule Eymal wa Yanga alituita manyani. Hata Pablo Hana tofauti na Eymal kwa kitendo kile alichofanya.Wewe ulitaka afanywaje mkuu?!
Sawa, lakini siulipewa adhabu ya kukosa kutizama tv na kulipa pesa za kununua TV nyingine? Kila tabia lazima Ina consequences zake. Na every behavior is a communication. Pablo kupiga teke kiti is communicating something ( uhovyo wa TFF, bodi ya ligi, uwanja, marefa, samani, waafrika, nk)Waswahili mshaanza maneno, unajua hasira wewe? Mie nilivunja TV niliyonunua million 1.3 kwa hasira.