Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Siwezi kubali kukaguliwa mara mbili na wewe labda uite msaidiz wako anikague
Afanaaaleki... kufa hakuna breki!!

We mtoto utakuja kunitia aibu ukweni. Njoo nikukague ili nijue kiasi cha mahari yako...

Sijawahi kukukagua wallah. Isije ikawa ulitapeliwa kwenye ukaguzi.
 
Afanaaaleki... kufa hakuna breki!!

We mtoto utakuja kunitia aibu ukweni. Njoo nikukague ili nijue kiasi cha mahari yako...

Sijawahi kukukagua wallah. Isije ikawa ulitapeliwa kwenye ukaguzi.
[emoji23]tatizo lako unazeeka na kumbukumbu zimekutupa mkonoo
 




Tumetoka mbali Sana My wife Wangu marejesho. Na wapinzani wako hawajawahi kukushinda. Hakika alichokiunganisha Hakuna wa kukitenganisha!
 
Karibu tena, ikfikia March mwaka huu unikumbushe na mimi nifurahie miaka tisa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…