Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Hongera sana siri kubwa ya wewe kutofika kijiji cha mateso cha mjini BAN ni uvumilivu wako na busara ulizo nazo happy birthday marejesho mungu akupe miaka mingine mingi hapa jf.

asante sana Slave . Huwa nikiona matusi kwenye uzi najitahidi kuhama haraka nisikwazike..Pili kitu kama sina ushahidi nacho,najaribu kutokukisema......
namuomba Mungu azidi kuniongezea uvumilivu......
 
Last edited by a moderator:

Asante amu . Nashukuru kwa taarifa za kiinteligensia....Huyu mume mwaka ukianza anakuwa kama anakaugonjwa fulani ka kupenda na kupendwa...Ni mapungufu aliyonayo ambayo nayaelewa fika..Siwezi kumuacha kwa hilo ila nashirikiana nae bega kwa bega ili siku moja yeye mwenyewe aseme basi..... Paloma na Lusile welcome onboard.......
 
Last edited by a moderator:
Huyu pendapenda Filipo nimemngoja nadhani ananiwekea naiti tu. Mamito! shostito! shem! marejesho hongera mpenzi kwa kutoboa miaka bee tangu utie guu humu. Najua ushakutana na changamoto nyingi sana humu ndani na zimekukomaza! Endelea kuelimisha!
 
Last edited by a moderator:

Hongera sana Mama totoo! Tulijiunga siku moja kwa malengo mamoja na hatujawahi kupigwa ban! Na hatutarajii kuipata!
Jipambe utoke bomba nikupeleke Sundown Cannivo mpz! Me love you much!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…