Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

marejesho ina maana humuoni Filipo keshazeeka hivo? Angalia sisi na kina LiverpoolFC ndio saizi yako mrembo.

Makubwa... Shemeji na wewe unataka? Kikweli kweli kabisa?.

Kwa taarifa yako SIDANGANYIKI... Huo uzee wa Filipo mie ndio naufaidi .....Alikudanganya nani ng'ombe anazeeka maini?
 
Last edited by a moderator:
marejesho;; Hongera zako jamani..........Nimechelewa sana kupitia hapa ila nilikuwa na matumaini ya kupita tu!!!!! Nimefurahi niloposikia ya kwamba haujawahi kukumbwa na janga la BAN.............Wenzako huko tumekuwa sugu na rafiki yangu Mungi;......;........Hongera sana baby na hakika tu pamoja mwanzo mwisho jamaniiiiii..........!!!

Asante sana shem LiverpoolFC . Eti mume wangu Filipo kaniuliza kwa nini umeniita baby? Nimemuelewesha ameelewa....
 
Last edited by a moderator:
Jamani marejesho kwanini lakini sio mm ninayempenda mumeo bali yeye amekuwa kikwazo kwangu mpaka atanifanya Mentor aniache sijui kwanini mm sielewi Filipo ana nini nami namuachia Mungu bana sina la kusema kabisa
Tarehe kama ya leo, mwezi wa kwanza, mwaka 2011 (6th Jan 2011), Nilipata fursa ya kujiunga na Jamii Forums. Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kudumu humu jamvini mpaka sasa ..

SABABU YA KUJIUNGA
Habari za SIASA motomoto nilizokuwa nikizipata miaka ile kwenye JAMBO FORUMS, ndizo zilikuwa chachu ya mimi kujiunga tena...

KWA NINI TENA?
Baada ya kukaa nje ya mtandao kwa muda mrefu, nadhani Jambo Forums waliondoka na password yangu... Nilijaribu sana kukumbuka password lakini niliambulia patupu...."Sikuwahi kupata wazo la kuwauliza Mods"

MAFANIKIO
Nimeweza kupata marafiki wengi ,ambao tunafurahi pamoja, tunashirikiana katika mambo mbalimbali.Kimsingi wamekuwa ni sehemu ya familia yangu....
Lini ningekwenda Tanga na kuenjoy kiviile kama sio JF? Big Up sana Arusha-WING, TA-WING na DAR-WING....

Nimeweza kufuatilia mambo mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea Nchini,ya kupendeza,kuhuzunisha nk.... Daima nitashukuru kuwepo kwa Jukwaa la Siasa maana bila wao, hakika nisingefika hata huku Chit Chat....

SHUKRANI ZA PEKEE.

Ziwafikie Mods ambao mpaka sasa hawajawahi kunipa hifadhi kule BAN GUEST HOUSE... Nasikia kule kuna mateso balaa, alinidokeza Mungi . Muendelee na moyo huo huo, mkizidi kufanya kazi yenu kwa umakini, msinikumbuke kabisa katika huo ufalme wa BAN..

Pili kwa mume mpenzi Filipo ,kwa kunidaka juu juu.. Nakiri kwamba upinzani upo ,tena mkubwa toka kwa Smile , ladyfurahia , sweetlady Arabela amu ila sintolala usingizi kabisa.... Baadhi ya niliowataja kwa namna moja wanampenda au wanapendwa na mume wangu.... Nayahesabu kwamba ni mapungufu ya kibinadamu....
UJUMBE:
Mimi na Filipo hatukukutana barabarani ,na kama hamuamini angalieni lini tulijiunga JF....


Nawatakia Upendo, Furaha , na Mafanikio katika kila Jambo mtakalolipanga kwa mwaka huu mpya 2013...

Copy: PakaJimmy , Blaki Womani , Preta , Lily Flower , Arushaone , Mr Rocky , Mungi , Mzee wa Rula , LiverpoolFC , Erickb52 , Smile , Arabela , Dark City , madame V , Nicas Mtei na wengine ambao sijawataja...
 
Last edited by a moderator:
Jamani marejesho kwanini lakini sio mm ninayempenda mumeo bali yeye amekuwa kikwazo kwangu mpaka atanifanya Mentor aniache sijui kwanini mm sielewi Filipo ana nini nami namuachia Mungu bana sina la kusema kabisa

My dear ladyfurahia usijali . Ndio maana nilisema tangu mwanzo kuna wanaompenda mume wangu na kuna wanaopendwa na mume wangu..... Naomba uendelee kumpotezea maana ukiachika kwa Mentor nakuambia Filipo hatakupenda tena.....Kama ulivyosema , tuendelee kumuomba MUNGU kwa bidii huu upepo nao utapita...
 
Last edited by a moderator:
Umemuona Madame B ? Mwaambie namtafuta anielekeze kwa fundi mzuri wa nguo ya white party....

me nipo wifi yangu ninayekupenda.
Usijali me nitakutafutia kitambaa na nitakushonea menyeweeeeeeeee.....................
ila wifi marejesho, chagua uupendao...
Sika-Vogue-Italia-January-2011-BellaNaijadotcom001-600x450.jpg

Au....
alo_alo_faceoff.jpg

Au.....
Sika-Vogue-Italia-January-2011-BellaNaijadotcom001-600x450.jpg

Au...
bn-wedding-glam-funke-fowler-abi-kuku-traditional-engagement-november-2011-bellanaija-007-587x600.jpg


HAPA CHACHA
BellaNaijadotcomAbisola-Abiola-Ajimobi-Kolapo-Kola-Daisi-Engagement-Wedding006.jpg

ila wifi marejesho kwenye Kitchen Party yako tulitokelezeaaaaaaaaa.......mbayaaaaaaa..........
Full Sare,Hakuna cha nini wala nini mabo yote Swaggg....swagaaaa........!!!!!!!!!!
Kama ulikuwa umetusahau tuliokuja kwenye Kitchen Party yako, ngoja nikukumbushe sasa:
WALIOSIMAMA:
Toka Kushoto KOKUTONA,
Yule pembeni mwenye kiswaga cha kijani ni Mke mwenza Blaki Womani (Mume wetu Arushaone kazi anayo),
Wa tatu toka kushoto waliosimama ni Lily Flower,
Anayefuatia ni gfsonwin,
Yule anayecheka ni shostito Evelyn Salt,
Yule Mdafada aliyejishika kiuno nilikuwa ni mimi mwenyewe Madame B,

WALIOKAA KWENYE KOCHI THATHA:
Toka kushoto ni Preta,
Anayefuata ni Smile,
Anayefuata Ulikuwa ni wewe mwenyewe wifi marejesho........ama ulipendeza sanaaaaaaa (Shemeji Filipo anafaudu.....Duhhh.......!!!!!!!)
Pembeni yako ni Rafiki yangu Marry Hunbig,
Na yule wa mwisho ni wifi yangu wa Ukwenhe charminglady (Jamani kaka yangu Nicas Mtei anakufaidiiiiii.......natamani hata angenioa mimi mwenyewe....lolestination Plus Plus)

Nakukumbusha ili siku nyingine usitusahau.
 
Kweli wewe ni wifi wa ukweli... Ninakupendaje......

Shosti umenikumbusha mbali sana.. Hivi hatuwezi kurudia kitchen party? Tulitokelezea ile mbaya...
Madame B mie nimependa huu mshono wa dada aliyeshika maua.....Ntapendeza si mchezo..
 

Attachments

  • kivazi.jpg
    kivazi.jpg
    24.8 KB · Views: 45
Last edited by a moderator:
Makubwa... Shemeji na wewe unataka? Kikweli kweli kabisa?.

Kwa taarifa yako SIDANGANYIKI... Huo uzee wa Filipo mie ndio naufaidi .....Alikudanganya nani ng'ombe anazeeka maini?

Kweli Mke mwema anatoka kwa God! Thats y I'll never leave you! Una maneno matamu mno. Hata Babu Dark City amekubali. Ukiona Babu amekuzungunzia hivyo ujue upo kwenye viwango vya juu sana vya ubora! Always yours!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom