Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Ilikuwa tarehe kama ya leo january 2011

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Mwanyasi umemuacha mke kisa hajui kuunga maji ya kuogea? Si ungemfundisha taratibu kwa kuanza na maji ya kuswakia? Kwa taarifa yako mie Filipo kanikuta sijui vitu lukuki lakini ubunifu na kusaidiana kumenifanya sasa hivi mie Stelingi....... Chezeya mapenzi.......
Anakutania huyu, hata siwezi kumuacha!
Maji ya iliki wala siyetaki, kitu anjari inatosha kabisaaa! Smile embu mjibu mwenyewe marejesho.......!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha haha.... Namshukuru Filipo kunioa maana ilisaidia watu kujua mimi ni jinsia ya KE.... Ila nadhani kuna wengi walijiuliza huyu mwanaume anaoa mwanaume mwenzake....Vipi tena? Pia na ile avater ya kwanza ya Kinyonga, ilikuwa ngumu kutambua.........

Nilifurahi sana kukuona that day, japo haikuwa siku ya furaha... Nilijua kuna siku nyingine isiyo na jina ningepata nafasi ya kukuona Ukismile kama jina lako, na namshukuru Mungu ilitokea Tanga.............

Huyu Filipo hata sijambana kiviile....Tutamuweka kati achague anataka kwenda wapi maana list nasikia imeongezeka.... Good thing is, sweetlady kajitoa kwenye ligi..

Sasa na wewe, Mwanyasi umemuacha?[/QUOTE Mwanyasi kanikimbia eti sijui kuunga maji ya kuogea na nazi!

Halafu we Smile acha kuwarusha roho wifi zako.....!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom