Ilikuwa vp hata ukawa mpenzi wa Arsenal, Man U, Chelsea or Liverpool?!

Ilikuwa vp hata ukawa mpenzi wa Arsenal, Man U, Chelsea or Liverpool?!

Toka niko chekechea miaka ya 70's nilikuwa naisikia Liverpool FC ilivyokuwa ikifanya mauaji makubwa, ikinyonga na kuua na kutesa saanaaaa huko UK na the entire Europe.
Hakuna timu iliokuwa ikitaka kukutana na Liverpool popote pale iwe Anfield ama ugenini.
Na ndio maana inaitwa the most successful English Football Club ever based on its past achievements!
18 league titles
5 times EUEFA champions league winners!
Miaka hiyo ilikuwa hakuna cha Man U wala Arsenal. Chelsea ilikuwa si lolote wala chochote.
Toka ilipofungiwa na UEFA kutokana na fujo kule Belgium in 1985-1990 nuksi gani sijui imeingia hapo Liverpool na hadi leo ni kama laana.
I hope the new owners will turn around the fortunes of this mighty football club na tuanze kuuwa tena kama enzi hizo za akina Rush na John Barnes.
Najua wengi wenu mko Arsenal, Chelsea na Man U. kutokana na kuwa exposed na EPL miaka ya 90's na 2000's. esp. baada ya ITV na DTV kuingia mjini.
Lakini kwa waliokuwa wakifuatilia EPL toka 70's na 80's waulize kuhusu "The Kop" na hapna shaka watakiri na kukueleza The Reds walivyokuwa wakitisha!.
It was all Liverpool.
Hata majuzi tu Gary Neville, Ryan Giggs na Sir Alex Ferguson wamekiri walikuwa wakiumia sana enzi hizo wakati Liverpool ilivyokuwa ikiuwa na kuwin kila kitu whether in UK ama Europe!
It's tough to be a Liverpool fan nowadays, lakini who knows.
I'm a Koppite forever, and am sure the past days of glory will be back again at Anfield soon.
 
Mheshimiwa Beckham kaanza kuchezea United mwaka 1992.


Mkuu ulimaanisha 1992 nini? Maana 1988 Summer Olympics zilikuwa Seoul, South Korea alafu Pep Guardiola ameanza kucheza Barca(first team) 1990 wakati Johan Cruyff kocha.

Asante mkuu sjui ni haraka au vipi au ndo kumbukumbu zinahama!!
 
Siku ambayo Eric Cantona alimpiga kung fu mshabiki wa Crystal Palace officialy nilikuwa mshabiki wa Man United
 
Toka niko chekechea miaka ya 70's nilikuwa naisikia Liverpool FC ilivyokuwa ikifanya mauaji makubwa, ikinyonga na kuua na kutesa saanaaaa huko UK na the entire Europe.
Hakuna timu iliokuwa ikitaka kukutana na Liverpool popote pale iwe Anfield ama ugenini.
Na ndio maana inaitwa the most successful English Football Club ever based on its past achievements!
18 league titles
5 times EUEFA champions league winners!
Miaka hiyo ilikuwa hakuna cha Man U wala Arsenal. Chelsea ilikuwa si lolote wala chochote.
Toka ilipofungiwa na UEFA kutokana na fujo kule Belgium in 1985-1990 nuksi gani sijui imeingia hapo Liverpool na hadi leo ni kama laana.
I hope the new owners will turn around the fortunes of this mighty football club na tuanze kuuwa tena kama enzi hizo za akina Rush na John Barnes.
Najua wengi wenu mko Arsenal, Chelsea na Man U. kutokana na kuwa exposed na EPL miaka ya 90's na 2000's. esp. baada ya ITV na DTV kuingia mjini.
Lakini kwa waliokuwa wakifuatilia EPL toka 70's na 80's waulize kuhusu "The Kop" na hapna shaka watakiri na kukueleza The Reds walivyokuwa wakitisha!.
It was all Liverpool.
Hata majuzi tu Gary Neville, Ryan Giggs na Sir Alex Ferguson wamekiri walikuwa wakiumia sana enzi hizo wakati Liverpool ilivyokuwa ikiuwa na kuwin kila kitu whether in UK ama Europe!
It's tough to be a Liverpool fan nowadays, lakini who knows.
I'm a Koppite forever, and am sure the past days of glory will be back again at Anfield soon.
Rooney na Gary Neville waliulizwa timu wanazochukia,wakadai liverpool,Stevie Gerard nae akajibu hataki na kamwe hatoweka jezi ya man utd ktk nyumba yake wala kuitangaza au kuvaa jezi ya man utd
 
Siku ambayo Eric Cantona alimpiga kung fu mshabiki wa Crystal Palace officialy nilikuwa mshabiki wa Man United
Dah mkuu umenikumbusha mbali sana, hii mechi nakumbuka ilikuwa jumatano usiku na tukaja kukosa ubingwa kwa Blackburn. King Eric alirudi mechi tuliyocheza na Liverpool (unakumbuka alivyoning'inia kwenye nguzo ya net baada ya kufunga?). Dah haya mambo yalikuwa miaka 15 iliyopita.
 
Na mimi :dance:nimekuwa mnazi wa Man city baada ya tajiri kununua wachezaji mastaa mwaka huu na kufuatilia soka la majuu mwaka huu,kama wenzangu 85% baada ya Abramovich kununua timu wakahama newcastle,spurs,liverpool na arsenal na kwenda darajani,na wengine baada ya 1999 kule nou camp ktk uefa champs ligi final.
 
Na mimi :dance:nimekuwa mnazi wa Man city baada ya tajiri kununua wachezaji mastaa mwaka huu na kufuatilia soka la majuu mwaka huu,kama wenzangu 85% baada ya Abramovich kununua timu wakahama newcastle,spurs,liverpool na arsenal na kwenda darajani,na wengine baada ya 1999 kule nou camp ktk uefa champs ligi final.
Eee nimeipenda sana hii!!
 
My ex- boyfriend alinifanya niipende sana arsenal hadi jezi navaa cha kushangaza tuliachana na am about to get married and my husband to be imebidi aipende arsenal hamna mfano,nadhani hata watoto wetu wataipenda arsenal

Duh nilidhani ex boyfriend wako alipotimka bado haujapata mtu nakwambia ningekuwa tayari kuchukua nafasi yake.watoto wataipenda Man United utakujaniambia mimi mchawi.
 
Wakuu sikumbuki lini hasa nilianza kuwapenda mashetani wekundu Manchester United ina nakumbuka mechi ambayo siwezi kuisahau maishani mwangu.

Mwaka 1999 26 may ilikuwepo mechi ya kugombea ubingwa wa ulaya UEFA Champions League Final kati ya Manchester United na Bayer Munich mechi ilifanyika Nou Camp Barcelona.Refa alikuwa muitaliano Pierluigi Collina na kipara chake chenye mg'aro wa kuvutia.Mpira ulianza kwa utulivu nakumbuka beki wa Manchester United alimchezea vibaya mshambuliaji wa Beyer Carsten Jancker nje kidogo ya eneo la hatari Mario Basler akapiga mpira wa adhabu ndogo moja kwa moja ndani ya nyavu za Manchester United na kuandika bao la kwanza.Manchester United walijitahidi kusawazisha bao lakini hakufanikwa hadi kipindi cha kwanza kilipomalizika.

Kipindi cha pili kilanza Bayer Munich walianza kuklisakama gali la Man lakini bahati haikuwa yao.Manchester ilipwaya sehemu ya kiungo kapten Roy na Paul Scholes hawakucheza walikuwa wakitumika adhabu.Sehemu ya kiungo walikuwepo David Beckham na Nicky Butt pembeni upande wa kulia Ryan
Giggys na kushoto Jesper Blomquist.Mzee Ferguson mambo yanazidi kumwenda vibaya anafanya mabadiliko anamtoa Jesper nafasi yake inakwenda kwa Teddy sheringham,dakika zinazidi kuyoyoma anamtoa Andy Cole zimebaki dakika kumi tu mpira umalizike baadhi ya manazi wa Man wanaanza kutoka hawawezi kuvumilia kuangali Beyer wakibebe kombe.

Beyer Munich wanafanya mabadiliko ya kupoteza muda naodha Lothar Matteus anatoka zikiwa zimebakia dakika nne mpitra kumalizika,Ngongo anamalizia bia kwenye glass haraka haraka kwa majozi makubwa ya kufungwa na kupoteza tsh 50,000/=.Ngongo anatazama TV ya uwanjani inaashiria muda wa kawaida umemalizika zimeongozwa dakika tatu .Kombe [mwali ] ameshavikwa bendara ya Beyer Munich kuashiria wameshachukua kombe.David Beckham anakwenda kupiga kona [injury time] Peter Schmechel mlinda mlango wa Manchester anaacha goli lake wazi anakimbilia kwenye goli la Beyer kona inapigwa mpira unatua kwenye bichwa la Schmechel anaupelaka kwa Dwight York anaupeleka mpira eneo la hatari [golini] Sherigham anausindikiza mpira wavuni dakika ya 90:40.Beyer Munich hawaamini kilichotokea mpira unaendelea dakika ya 92:20 kona nyingine Beckham kama kawaida anakwenda kupiga tena safari hii kipa wa Manchester hatoki tena golini kwake kesharidhika na matokea pengine alikuwa akijiandaa kwa dakika za nyongeza mpira unatua kwenye kichwa cha Sherigham anamdondoshea Baby face Ole anaandika bao la pili Ngong anaongeza bia nyingine kwa furaha na kelele nyingi utadhani Garma Slaa kachukua nchi.
 
Wakuu sikumbuki lini hasa nilianza kuwapenda mashetani wekundu Manchester United ina nakumbuka mechi ambayo siwezi kuisahau maishani mwangu.

Mwaka 1999 26 may ilikuwepo mechi ya kugombea ubingwa wa ulaya UEFA Champions League Final kati ya Manchester United na Bayer Munich mechi ilifanyika Nou Camp Barcelona.Refa alikuwa muitaliano Pierluigi Collina na kipara chake chenye mg'aro wa kuvutia.Mpira ulianza kwa utulivu nakumbuka beki wa Manchester United alimchezea vibaya mshambuliaji wa Beyer Carsten Jancker nje kidogo ya eneo la hatari Mario Basler akapiga mpira wa adhabu ndogo moja kwa moja ndani ya nyavu za Manchester United na kuandika bao la kwanza.Manchester United walijitahidi kusawazisha bao lakini hakufanikwa hadi kipindi cha kwanza kilipomalizika.

Kipindi cha pili kilanza Bayer Munich walianza kuklisakama gali la Man lakini bahati haikuwa yao.Manchester ilipwaya sehemu ya kiungo kapten Roy na Paul Scholes hawakucheza walikuwa wakitumika adhabu.Sehemu ya kiungo walikuwepo David Beckham na Nicky Butt pembeni upande wa kulia Ryan
Giggys na kushoto Jesper Blomquist.Mzee Ferguson mambo yanazidi kumwenda vibaya anafanya mabadiliko anamtoa Jesper nafasi yake inakwenda kwa Teddy sheringham,dakika zinazidi kuyoyoma anamtoa Andy Cole zimebaki dakika kumi tu mpira umalizike baadhi ya manazi wa Man wanaanza kutoka hawawezi kuvumilia kuangali Beyer wakibebe kombe.

Beyer Munich wanafanya mabadiliko ya kupoteza muda naodha Lothar Matteus anatoka zikiwa zimebakia dakika nne mpitra kumalizika,Ngongo anamalizia bia kwenye glass haraka haraka kwa majozi makubwa ya kufungwa na kupoteza tsh 50,000/=.Ngongo anatazama TV ya uwanjani inaashiria muda wa kawaida umemalizika zimeongozwa dakika tatu .Kombe [mwali ] ameshavikwa bendara ya Beyer Munich kuashiria wameshachukua kombe.David Beckham anakwenda kupiga kona [injury time] Peter Schmechel mlinda mlango wa Manchester anaacha goli lake wazi anakimbilia kwenye goli la Beyer kona inapigwa mpira unatua kwenye bichwa la Schmechel anaupelaka kwa Dwight York anaupeleka mpira eneo la hatari [golini] Sherigham anausindikiza mpira wavuni dakika ya 90:40.Beyer Munich hawaamini kilichotokea mpira unaendelea dakika ya 92:20 kona nyingine Beckham kama kawaida anakwenda kupiga tena safari hii kipa wa Manchester hatoki tena golini kwake kesharidhika na matokea pengine alikuwa akijiandaa kwa dakika za nyongeza mpira unatua kwenye kichwa cha Sherigham anamdondoshea Baby face Ole anaandika bao la pili Ngong anaongeza bia nyingine kwa furaha na kelele nyingi utadhani Garma Slaa kachukua nchi.
Mkuu Ngongo mpaka leo nikiyasikia yale maneno ya Clive Tyldesley mwili unanisisimka, maana kilichotokea usiku ule ni moja ya maajabu(4th) ya kwenye michezo. Ebu tujikumbushe kidogo.
"Can Manchester United score? They always score!"
"Name on the trophy!"
"Is this their moment? Beckham... into Sheringham... and Solskjaer has won it!"
"Manchester United have reached the promised land."

Samuel Kuffour alilia mpaka nikamuonea huruma.
 
Mkuu Ngongo mpaka leo nikiyasikia yale maneno ya Clive Tyldesley mwili unanisisimka, maana kilichotokea usiku ule ni moja ya maajabu(4th) ya kwenye michezo. Ebu tujikumbushe kidogo.
"Can Manchester United score? They always score!"
"Name on the trophy!"
"Is this their moment? Beckham... into Sheringham... and Solskjaer has won it!"
"Manchester United have reached the promised land."

Samuel Kuffour alilia mpaka nikamuonea huruma.
Na hivi Samuel Kuffour yupo wapi, au ndio keshatundika daluga?
 
Na hivi Samuel Kuffour yupo wapi, au ndio keshatundika daluga?

Alikuja kwenda kuchezea AS Roma later in his career, recently alikuwa bado anacheza soka kwao Ghana, klabu ya Accra Hearts of Oak.

Kwenye Kombe la Dunia 2010, alikuwa mchambuzi wa soka kwenye kituo cha SuperSport na alionekana akifuta machozi siku Ghana ilipowabwaga Marekani.
 
Alikuja kwenda kuchezea AS Roma later in his career, recently alikuwa bado anacheza soka kwao Ghana, klabu ya Accra Hearts of Oak.

Kwenye Kombe la Dunia 2010, alikuwa mchambuzi wa soka kwenye kituo cha SuperSport na alionekana akifuta machozi siku Ghana ilipowabwaga Marekani.

Anapenda kulia utafikiri mwanamke wa kihindi.
 
Wakuu sikumbuki lini hasa nilianza kuwapenda mashetani wekundu Manchester United ina nakumbuka mechi ambayo siwezi kuisahau maishani mwangu.

Mwaka 1999 26 may ilikuwepo mechi ya kugombea ubingwa wa ulaya UEFA Champions League Final kati ya Manchester United na Bayer Munich mechi ilifanyika Nou Camp Barcelona.Refa alikuwa muitaliano Pierluigi Collina na kipara chake chenye mg'aro wa kuvutia.Mpira ulianza kwa utulivu nakumbuka beki wa Manchester United alimchezea vibaya mshambuliaji wa Beyer Carsten Jancker nje kidogo ya eneo la hatari Mario Basler akapiga mpira wa adhabu ndogo moja kwa moja ndani ya nyavu za Manchester United na kuandika bao la kwanza.Manchester United walijitahidi kusawazisha bao lakini hakufanikwa hadi kipindi cha kwanza kilipomalizika.

Kipindi cha pili kilanza Bayer Munich walianza kuklisakama gali la Man lakini bahati haikuwa yao.Manchester ilipwaya sehemu ya kiungo kapten Roy na Paul Scholes hawakucheza walikuwa wakitumika adhabu.Sehemu ya kiungo walikuwepo David Beckham na Nicky Butt pembeni upande wa kulia Ryan
Giggys na kushoto Jesper Blomquist.Mzee Ferguson mambo yanazidi kumwenda vibaya anafanya mabadiliko anamtoa Jesper nafasi yake inakwenda kwa Teddy sheringham,dakika zinazidi kuyoyoma anamtoa Andy Cole zimebaki dakika kumi tu mpira umalizike baadhi ya manazi wa Man wanaanza kutoka hawawezi kuvumilia kuangali Beyer wakibebe kombe.

Beyer Munich wanafanya mabadiliko ya kupoteza muda naodha Lothar Matteus anatoka zikiwa zimebakia dakika nne mpitra kumalizika,Ngongo anamalizia bia kwenye glass haraka haraka kwa majozi makubwa ya kufungwa na kupoteza tsh 50,000/=.Ngongo anatazama TV ya uwanjani inaashiria muda wa kawaida umemalizika zimeongozwa dakika tatu .Kombe [mwali ] ameshavikwa bendara ya Beyer Munich kuashiria wameshachukua kombe.David Beckham anakwenda kupiga kona [injury time] Peter Schmechel mlinda mlango wa Manchester anaacha goli lake wazi anakimbilia kwenye goli la Beyer kona inapigwa mpira unatua kwenye bichwa la Schmechel anaupelaka kwa Dwight York anaupeleka mpira eneo la hatari [golini] Sherigham anausindikiza mpira wavuni dakika ya 90:40.Beyer Munich hawaamini kilichotokea mpira unaendelea dakika ya 92:20 kona nyingine Beckham kama kawaida anakwenda kupiga tena safari hii kipa wa Manchester hatoki tena golini kwake kesharidhika na matokea pengine alikuwa akijiandaa kwa dakika za nyongeza mpira unatua kwenye kichwa cha Sherigham anamdondoshea Baby face Ole anaandika bao la pili Ngong anaongeza bia nyingine kwa furaha na kelele nyingi utadhani Garma Slaa kachukua nchi.

How did you feel four months later when we put 5 past that legend of yours, Massimo Taibi? That's one of my favourite games at the Bridge, spanking the treble winning Manure 5-0, I can't wait to reapet the scoreline with the current team.
 
Toka niko chekechea miaka ya 70's nilikuwa naisikia Liverpool FC ilivyokuwa ikifanya mauaji makubwa, ikinyonga na kuua na kutesa saanaaaa huko UK na the entire Europe.
Hakuna timu iliokuwa ikitaka kukutana na Liverpool popote pale iwe Anfield ama ugenini.
Na ndio maana inaitwa the most successful English Football Club ever based on its past achievements!
18 league titles
5 times EUEFA champions league winners!
Miaka hiyo ilikuwa hakuna cha Man U wala Arsenal. Chelsea ilikuwa si lolote wala chochote.
Toka ilipofungiwa na UEFA kutokana na fujo kule Belgium in 1985-1990 nuksi gani sijui imeingia hapo Liverpool na hadi leo ni kama laana.
I hope the new owners will turn around the fortunes of this mighty football club na tuanze kuuwa tena kama enzi hizo za akina Rush na John Barnes.
Najua wengi wenu mko Arsenal, Chelsea na Man U. kutokana na kuwa exposed na EPL miaka ya 90's na 2000's. esp. baada ya ITV na DTV kuingia mjini.
Lakini kwa waliokuwa wakifuatilia EPL toka 70's na 80's waulize kuhusu "The Kop" na hapna shaka watakiri na kukueleza The Reds walivyokuwa wakitisha!.
It was all Liverpool.
Hata majuzi tu Gary Neville, Ryan Giggs na Sir Alex Ferguson wamekiri walikuwa wakiumia sana enzi hizo wakati Liverpool ilivyokuwa ikiuwa na kuwin kila kitu whether in UK ama Europe!
It's tough to be a Liverpool fan nowadays, lakini who knows.
I'm a Koppite forever, and am sure the past days of glory will be back again at Anfield soon.

SIO SIRI, hata mimi Liverpool ni timu ambayo niliwahi kuifahamu tangu nikiwa mdogo kabisa lakini sijui nini kimeikumba timu hii!!! Ni kama kusambaratika kwa dola la Warumi duniani
 
Back
Top Bottom