maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko.
Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule ukizingatia kuna michuano ya kimataifa inayofanyikiaga kule na timu mbalimbali toka mataifa ya nje yautumia ule uwanja. Ni aibu kwa mazingira yale kumpeleka mgeni wa aina yoyote aisee hasa njiani mpaka kufika pale ulipo uwanja.
Uwanja wenyewe na mazingira yake ni super ila maeneo yanayozunguka hapo na njia nzima kwakweli ni aibu. Labda uwanja wa KMC pale mwenge utatutoa hii aibu aisee, Chamazi ni sio poa kabisa, maeneo mengine kama Mbezi, Kiluvya hadi kibaha walikosa kabisa? Kigamboni je?
Anyway sitaki kuwakwaza wakazi wa kule ila daaah... Tunajitia aibu hasa kwa wageni, bora mechi zikachezwe hata Zanzibar kuliko Chamazi kuepuka aibu.
Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule ukizingatia kuna michuano ya kimataifa inayofanyikiaga kule na timu mbalimbali toka mataifa ya nje yautumia ule uwanja. Ni aibu kwa mazingira yale kumpeleka mgeni wa aina yoyote aisee hasa njiani mpaka kufika pale ulipo uwanja.
Uwanja wenyewe na mazingira yake ni super ila maeneo yanayozunguka hapo na njia nzima kwakweli ni aibu. Labda uwanja wa KMC pale mwenge utatutoa hii aibu aisee, Chamazi ni sio poa kabisa, maeneo mengine kama Mbezi, Kiluvya hadi kibaha walikosa kabisa? Kigamboni je?
Anyway sitaki kuwakwaza wakazi wa kule ila daaah... Tunajitia aibu hasa kwa wageni, bora mechi zikachezwe hata Zanzibar kuliko Chamazi kuepuka aibu.