Ilikuwaje Azam wakaenda kujenga uwanja Chamazi? Tunalitia taifa aibu

Ilikuwaje Azam wakaenda kujenga uwanja Chamazi? Tunalitia taifa aibu

Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko.

Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule ukizingatia kuna michuano ya kimataifa inayofanyikiaga kule na timu mbalimbali toka mataifa ya nje yautumia ule uwanja. Ni aibu kwa mazingira yale kumpeleka mgeni wa aina yoyote aisee hasa njiani mpaka kufika pale ulipo uwanja.

Uwanja wenyewe na mazingira yake ni super ila maeneo yanayozunguka hapo na njia nzima kwakweli ni aibu. Labda uwanja wa KMC pale mwenge utatutoa hii aibu aisee, Chamazi ni sio poa kabisa, maeneo mengine kama Mbezi, Kiluvya hadi kibaha walikosa kabisa? Kigamboni je?

Anyway sitaki kuwakwaza wakazi wa kule ila daaah... Tunajitia aibu hasa kwa wageni, bora mechi zikachezwe hata Zanzibar kuliko Chamazi kuepuka aibu.

sasa ulitaka akajenge wapi unapohisi pana nafuu? mi sioni sehemu ya maana hapo ukimani. kote hakuna mipango miji mizuri, barabara mashimo matupu, mji uko hovyohovyo kila sehemu.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko.

Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule ukizingatia kuna michuano ya kimataifa inayofanyikiaga kule na timu mbalimbali toka mataifa ya nje yautumia ule uwanja. Ni aibu kwa mazingira yale kumpeleka mgeni wa aina yoyote aisee hasa njiani mpaka kufika pale ulipo uwanja.

Uwanja wenyewe na mazingira yake ni super ila maeneo yanayozunguka hapo na njia nzima kwakweli ni aibu. Labda uwanja wa KMC pale mwenge utatutoa hii aibu aisee, Chamazi ni sio poa kabisa, maeneo mengine kama Mbezi, Kiluvya hadi kibaha walikosa kabisa? Kigamboni je?

Anyway sitaki kuwakwaza wakazi wa kule ila daaah... Tunajitia aibu hasa kwa wageni, bora mechi zikachezwe hata Zanzibar kuliko Chamazi kuepuka aibu.

Uwanja wa Mkapa mazingira yake unayafahamu vizuri?

Vile vijumba jieani na uwanja ambapo hata Al Ahly alipiga picha walipokuja kucheza na Yanga uliviona?

Au wewe ni mgeni Dar?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kwahiyo unafikiri hata ule uwanja wa zamani wa Taifa pale chang'ombe wakati unajengwa palikuwa mjini,watafute wakongwe waliozaliwa miaka hiyo wakupe taarifa ndio uje kuchallenge huku...?
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko.

Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule ukizingatia kuna michuano ya kimataifa inayofanyikiaga kule na timu mbalimbali toka mataifa ya nje yautumia ule uwanja. Ni aibu kwa mazingira yale kumpeleka mgeni wa aina yoyote aisee hasa njiani mpaka kufika pale ulipo uwanja.

Uwanja wenyewe na mazingira yake ni super ila maeneo yanayozunguka hapo na njia nzima kwakweli ni aibu. Labda uwanja wa KMC pale mwenge utatutoa hii aibu aisee, Chamazi ni sio poa kabisa, maeneo mengine kama Mbezi, Kiluvya hadi kibaha walikosa kabisa? Kigamboni je?

Anyway sitaki kuwakwaza wakazi wa kule ila daaah... Tunajitia aibu hasa kwa wageni, bora mechi zikachezwe hata Zanzibar kuliko Chamazi kuepuka aibu.

Tatua matatizo yako kwanza.
Azam wanaingiza fedha wakati huu kuanzia tarehe 25 mpaka 30 June na waliuchagua huo uwanja wanayafahamu vizuri mazingira yale licha ya ugeni wao kukuzidi wewe mwenye upeo mdogo.

Umejaribu kujiuliza kuhusu gharama za kupata eneo lenye ukubwa sawa na hilo la Chamazi kwa hapo Mwenge lingeligharimu kiasi gani cha fedha?

Vipi kwani eneo lote limejengwa uwanja pekee au kuna reserve kwa ajili ya kuweka hata kiwanja cha kufanyia mazoezi?

Nakuomba uwakataze ndugu zako wasiutumie huo uwanja kwakuwa mazingira walipoujenga siyo rafiki kwako ila Wasudani wao ni mtamu tu.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Nyumbani ni nyumbani hata kama kichakani!
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Wakuu sio kwa ubaya ila kiukweli nilikua sijawahi kufika chamazi na nilikua na picha nzuri tu kichwani ya maeneo ya huko. Sasa majuzi nikajikuta nimefika kutokana na shughuli zangu kunipeleka huko.

Kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana nini kilipelekea Azam kuamua kwenda kujenga uwanja kule ukizingatia kuna michuano ya kimataifa inayofanyikiaga kule na timu mbalimbali toka mataifa ya nje yautumia ule uwanja. Ni aibu kwa mazingira yale kumpeleka mgeni wa aina yoyote aisee hasa njiani mpaka kufika pale ulipo uwanja.

Uwanja wenyewe na mazingira yake ni super ila maeneo yanayozunguka hapo na njia nzima kwakweli ni aibu. Labda uwanja wa KMC pale mwenge utatutoa hii aibu aisee, Chamazi ni sio poa kabisa, maeneo mengine kama Mbezi, Kiluvya hadi kibaha walikosa kabisa? Kigamboni je?

Anyway sitaki kuwakwaza wakazi wa kule ila daaah... Tunajitia aibu hasa kwa wageni, bora mechi zikachezwe hata Zanzibar kuliko Chamazi kuepuka aibu.

Sio kwa ubaya..wewe kabila gani? unaweza kuwa mtani wangu.
 
Lile eneo lote pale alipewa bure na serikali.. baada ya kushinda kesi..

Ni kujitanua tu kibiashara kama NATO wanavyo jitanua kuelekea mashariki

Aah, Chamazi alipewa bure...?

Afu pale Tazara, vile Vinu Vya National Milling Vilienda wapi..? Au navyo alipewa.?
 
Mwalimu Nyerere na waasisi wengine wa Taifa hili wangekuwa na akili za kishenzi kama zako wasingejenga UDSM sehemu ilipo leo. Fikiria enzi za mwalimu maeneo ya Chuo Kikuu yalikuwa yanafananaje kama wanasema Sinza kulikuwa na mashamba ya mpunga?
 
Back
Top Bottom