Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Mwanyika former AG ni mpare.
 
Sio kweli bwana, ccm chama kisafi sana na hakuna mfano wake duniani.

Niambie Magufuli alimpa nani rushwa ili apitishwe na ccm kugombea uongozi wa vyombo vya dola
Kaiweka ccm mfukoni..... Manunuzi ya ndege na ujenzi wa chato mkuu ni skendo chafu sn just wait n see......
Ile 1.5trn iliyopotea ni ufisadi mkubwa kuliko ufisadi wa awamu zote zilizopita ukiuweka pamoja
 
Kaiweka ccm mfukoni..... Manunuzi ya ndege na ujenzi wa chato mkuu ni skendo chafu sn just wait n see......
Ile 1.5trn iliyopotea ni ufisadi mkubwa kuliko ufisadi wa awamu zote zilizopita ukiuweka pamoja
Magufuli msafi sana. Nyie mnasafisha tu
 
Inasikitisha sana.
vita dhidi ya ufisadi nchini ni usanii!.

Umesahau tuliambiwa kuwa Andengenye Amesaini mkataba wa kifisadi wa matriolini ya hela, leo yuko wapi?, badala ya kuwa jela sasa hivi ni mkuu wa mkoa wa kigoma!
 
Namfahamu Deo toka akiwa mdogo, tumesoma nae, kwa kifupi ni mwanasheria nguli, na ni debater mzuri sana toka akiwa shule ya msingi ,sekondari, chuo kikuu lakini pamoja na ukwasi alionao na madraka aliyonayo ni mtu poa sana hasau kwa mtu ambaye anamfahamu si ajabu wana Njombe wanamkubali, Deo hajui shida au njaa toka utoto wake, baba yake mzee Mwanyika alikuwa mwalimu mkuu,mwalimu chuo cha ualimu na wote tunajua waalimu wa miaka ya 70 walivyokuwa na hadhi na uwezo na maadili mema, na ndivyo alivyo Deo, humsikia akipaza sauti lakini ni mtu makini sana. jamaa ana kipaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…