Ilikuwaje mkaiita mashindano ya walioshindwa na leo mnashangilia kushiriki mashindano hayo?

Ilikuwaje mkaiita mashindano ya walioshindwa na leo mnashangilia kushiriki mashindano hayo?

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kila mdau wa clab cha Yanga anashangilia hatua kubwa club yao iliyofikia hapo jana kwa kuingia makundi katika mashindano ya CAF CC.

Kuanzia Rais wa club anashangilia mpaka mla miogo wa Chanika ana shangilia .....ila aliwahi kutokea Msemaji wao mmoja aliye toa mameno ya kudhihaki mashindano hayo ya CAF tena ndani ya ofisi za mwezeshaji wa kilabu hicho akathubutu kuiita mashindano hayo ni ya walio shindwa.

Hakika limebaki kuwa jambo ambalo ni AIBU kwa watu wa kilabu hiki kukataa kushiriki mashindano wliyo yaita ni ya walio shindwa.

Hongereni mashabiki wa kilabu kilicho shindwa
 
Haya vyura mnaambiwa mvimbe ili mimba ya mgongo iwatoke 😂😂😂
IMG-20221110-WA0013.jpg

Nalog off Z
 
Unataka iende timu ya shangazi zako au , Mfate Manara muambie hizo habari sio Wananchi,imekukera sana Yanga kufuzu group stage
 
Kombe la Shirikisho halina hadhi ya Yanga, ila wakati tunatafuta namna ya kucheza Ligi ya Mabingwa lazima tupate uzoefu wa namna ya kucheza izo mechi.
Uku Shirikisho iwe sehemu ya Shamba darasa tunakwenda kucheza kama sehemu ya kujifunza uku tukiwa tunaimarisha timu na kuongeza uzoefu. Timu iko vizuri ila namna ya kupata matokeo kwenye michuano ya Caf ni zaidi ya kuwa na Timu Bora.
Kuna upuuzi mwingi ambao inabidi tujifunze Ili tupate matokeo mazuri si mpira pekeyake.
 
Ogopa sana Mungu na teknolojia
 
Msemaji hovyo .....

ALISEMA yanga wenye akili ni wawili tu Mzee KIKWETE na Mzee Manara tu.
 
Kwan ilikuwa ni mashindano ya kirafiki au kombe la looser ? Weka sawa hapo huyo mwarabu ulikutana naye ukamfunga mlikuwa mnagombea kushiriki mashimdano gan ?
Yani LOOSER aliyekufunga amemfunga LOOSER wa kiarabu..!! Ukijiona unafungwa na LOOSER ujuwe wewe ni wa chini ya chini ya LOOSER
 
Kombe la Shirikisho halina hadhi ya Yanga, ila wakati tunatafuta namna ya kucheza Ligi ya Mabingwa lazima tupate uzoefu wa namna ya kucheza izo mechi.
Uku Shirikisho iwe sehemu ya Shamba darasa tunakwenda kucheza kama sehemu ya kujifunza uku tukiwa tunaimarisha timu na kuongeza uzoefu. Timu iko vizuri ila namna ya kupata matokeo kwenye michuano ya Caf ni zaidi ya kuwa na Timu Bora.
Kuna upuuzi mwingi ambao inabidi tujifunze Ili tupate matokeo mazuri si mpira pekeyake.
Ni kama wao walivyofika huko wanakojivuania leo, ni baada ya kucheza ligi ya nyumbani
 
Kila mdau wa clab cha Yanga ana shangilia hatua kubwa club yao iliyo.fikia hapo jana kwa kuingia makundi katika mashindano ya CAF CC ...

Kuanzia Rais wa club ana dhangilia mpaka mla miogo wa Chanika ana shangilia .....ila aliwahi kutokea Msemaji wao mmoja aliye toa mameno ya kudhihaki mashindano hayo ya CAF tena ndani ya ofisi za mwezeshaji wa kilabu hicho akathubutu kuiita mashindano hayo ni ya walio shindwa .....

Hakika limebaki kuwa jambo ambalo ni AIBU kwa watu wa kilabu hiki kukataa kushiriki mashindano wliyo yaita ni ya walio shindwa ......


Hongereni mashabiki wa kilabu kilicho shindwa
So kila anacho kisema Manara mna kibeba kama sheria? kwenu Manara ni mtu wa maana saana?
 
Huwa sijibu maswali ya kitoto kama hili

Hilo siyo swali la kitoto. Ni swali halisi kabisa kwa kufuata rejea ya mropokaji wenu. Leo Yanga wanakula matapishi yao. Ni mashindano ya Walioshindwa, waliofeli yaani Failures, Loosers!
 
Kombe la Shirikisho halina hadhi ya Yanga, ila wakati tunatafuta namna ya kucheza Ligi ya Mabingwa lazima tupate uzoefu wa namna ya kucheza izo mechi.
Uku Shirikisho iwe sehemu ya Shamba darasa tunakwenda kucheza kama sehemu ya kujifunza uku tukiwa tunaimarisha timu na kuongeza uzoefu. Timu iko vizuri ila namna ya kupata matokeo kwenye michuano ya Caf ni zaidi ya kuwa na Timu Bora.
Kuna upuuzi mwingi ambao inabidi tujifunze Ili tupate matokeo mazuri si mpira pekeyake.
Kumbe bado mnajifunza?na mnavyojitutumua kwamba nyinyi ni timu kubwa
 
Back
Top Bottom