Ilikuwaje mkaiita mashindano ya walioshindwa na leo mnashangilia kushiriki mashindano hayo?

Ilikuwaje mkaiita mashindano ya walioshindwa na leo mnashangilia kushiriki mashindano hayo?

Na mazwazwa wa Yanga mnamtukuza sana Ismail Aden Rage hasa wewe, jina lake halikauki akilini mwako.
Sasa Ismail Aden Rage unamlinganisha na Haji Manara! Angekuwa ni kichwa maji, angefikia hatua ya kuwa Mwenyekiti wa timu yenu? Tena Mwenyekiti aliyechaguliwa kwa kura!!

Na kwa kitendo chake cha kuwaita mbumbumbu baadhi ya mashabiki, ukiwemo wewe! Kwangu mimi naamini alikuwa sahihi kabisa.
 
Yani LOOSER aliyekufunga amemfunga LOOSER wa kiarabu..!! Ukijiona unafungwa na LOOSER ujuwe wewe ni wa chini ya chini ya LOOSER
Hapo kuna mambo mawili, Akili huna au Huna akili...

Unamdharau vipi mtu aliyefaulu PhD wakati wewe unapambana kurisiti pepa la QT!!!!!

NCHI INA WATU WA HOVYO SANA.
 
Hapo kuna mambo mawili, Akili huna au Huna akili...

Unamdharau vipi mtu aliyefaulu PhD wakati wewe unapambana kurisiti pepa la QT!!!!!

NCHI INA WATU WA HOVYO SANA.
Mfano siyo hai..!! Yaani kwenda kushindwia kwenye makundi ndo unaona ni sawa na PhD..!!! Na aliyechukua kombe ni sawa na nini..?? You are not serious..!!
 
Na mazwazwa wa Yanga mnamtukuza sana Ismail Aden Rage hasa wewe, jina lake halikauki akilini mwako.
Kati ya nyie mliyemchagua rage awe mwenyekiti wenu (NA AKAJA KUGUNDUA KUWA NYIE NI MAMBUMBUMBU) na sisi ambaye hana cheo chochote kwetu NANI ZWAZWA..??
 
Sasa Ismail Aden Rage unamlinganisha na Haji Manara! Angekuwa ni kichwa maji, angefikia hatua ya kuwa Mwenyekiti wa timu yenu? Tena Mwenyekiti aliyechaguliwa kwa kura!!

Na kwa kitendo chake cha kuwaita mbumbumbu baadhi ya mashabiki, ukiwemo wewe! Kwangu mimi naamini alikuwa sahihi kabisa.
Hata mimi nakuona wewe taahira tu kutwa kucha kumnukuu Rage kana kwama ni mtume fulani hivi.
 
Kati ya nyie mliyemchagua rage awe mwenyekiti wenu (NA AKAJA KUGUNDUA KUWA NYIE NI MAMBUMBUMBU) na sisi ambaye hana cheo chochote kwetu NANI ZWAZWA..??
Matendo yenu yanadhihirisha kuwa nyie ni nyani, mbwa na unaeducated kama alivyosema Luc Eymael
 
Kila mdau wa clab cha Yanga anashangilia hatua kubwa club yao iliyofikia hapo jana kwa kuingia makundi katika mashindano ya CAF CC.

Kuanzia Rais wa club anashangilia mpaka mla miogo wa Chanika ana shangilia .....ila aliwahi kutokea Msemaji wao mmoja aliye toa mameno ya kudhihaki mashindano hayo ya CAF tena ndani ya ofisi za mwezeshaji wa kilabu hicho akathubutu kuiita mashindano hayo ni ya walio shindwa.

Hakika limebaki kuwa jambo ambalo ni AIBU kwa watu wa kilabu hiki kukataa kushiriki mashindano wliyo yaita ni ya walio shindwa.

Hongereni mashabiki wa kilabu kilicho shindwa
Hakika limebaki kuwa jambo ambalo ni AIBU kwa watu wa kilabu hiki kukataa kushiriki mashindano wliyo yaita ni ya walio shindwa.

Hongereni mashabiki wa kilabu kilicho shindwa[emoji23]
 
Kila mdau wa clab cha Yanga anashangilia hatua kubwa club yao iliyofikia hapo jana kwa kuingia makundi katika mashindano ya CAF CC.

Kuanzia Rais wa club anashangilia mpaka mla miogo wa Chanika ana shangilia .....ila aliwahi kutokea Msemaji wao mmoja aliye toa mameno ya kudhihaki mashindano hayo ya CAF tena ndani ya ofisi za mwezeshaji wa kilabu hicho akathubutu kuiita mashindano hayo ni ya walio shindwa.

Hakika limebaki kuwa jambo ambalo ni AIBU kwa watu wa kilabu hiki kukataa kushiriki mashindano wliyo yaita ni ya walio shindwa.

Hongereni mashabiki wa kilabu kilicho shindwa
Habari ya Singida mkuu. Tujifunze kupenda vya kwetu, kuna mambo mengi ya msingi ya kujadili kuhusu mikia, acha umbea mkuu. Firi bila chama hafungi, mgunda na matola wanagombea ukocha mkuu, kibu Denise, kanoute nk. Mbona kuna mambo mengi tu ya kujadili kuboresha klabu yenu? Basi liko wapi? Heri hata ungeitisha mchango humu tuwasaidie kulikomboa tata lenu. Acha umbea mkuu
 
Kati ya nyie mliyemchagua rage awe mwenyekiti wenu (NA AKAJA KUGUNDUA KUWA NYIE NI MAMBUMBUMBU) na sisi ambaye hana cheo chochote kwetu NANI ZWAZWA..??
Kama uko jirani na duka lolote lile, hebu fanya kuagizia kinywaji chochote kile. Halafu nitakuja kulipa.
 
Hata mimi nakuona wewe taahira tu kutwa kucha kumnukuu Rage kana kwama ni mtume fulani hivi.
Rage siyo mtume! Ismail Aden Rage ni mwenyekiti wenu mstaafu wa klabu. Na kuna wakati alidiriki kuwaita mbumbumbu, kwa sababu mnapenda kubweka bweka tu hovyo.

Sasa kosa langu liko wapi ninapo mnukuu? Au unataka ukatae hajawahi kuwaita baadhi ya mashabiki, ukiwemo wewe hapo kwa jina la mbumbumbu?
 
Rage siyo mtume! Ismail Aden Rage ni mwenyekiti wenu mstaafu wa klabu. Na kuna wakati alidiriki kuwaita mbumbumbu, kwa sababu mnapenda kubweka bweka tu hovyo.

Sasa kosa langu liko wapi ninapo mnukuu? Au unataka ukatae hajawahi kuwaita baadhi ya mashabiki, ukiwemo wewe hapo kwa jina la mbumbumbu?
Tatizo lako mjomba wewe unajiona unayo haki yote hapa duniani, jambo ukifanya wewe sawa lakini jambo hilo hilo akifanya mwingine unamhukumu, hauko sawa.Mimi niliweka clip ya msemaji wenu alipokuwa anasema CAFCC ni kombe la loosers ukaniwakia as if ni mimi niliyetoa kauli hiyo, jitafakari, wewe siyo kipimo sahihi.
 
Tatizo lako mjomba wewe unajiona unayo haki yote hapa duniani, jambo ukifanya wewe sawa lakini jambo hilo hilo akifanya mwingine unamhukumu, hauko sawa.Mimi niliweka clip ya msemaji wenu alipokuwa anasema CAFCC ni kombe la loosers ukaniwakia as if ni mimi niliyetoa kauli hiyo, jitafakari, wewe siyo kipimo sahihi.
Kwa hiyo Haji Manara ni msemaji wa Yanga sc! Ok.
 
Kwani hujui au ndiyo uthibitisho kuwa wewe ni hamnazo?
Mbona nimeuliza, na kuhitimisha kwa kuitikia 'ok'!! Shida iko wapi tena? Umesema Haji Manara ni msemaji wa Yanga! Nimekuitikia "ok"!! Sasa hayo maneno mengine yanatoka wapi?
 
Mbona nimeuliza, na kuhitimisha kwa kuitikia 'ok'!! Shida iko wapi tena? Umesema Haji Manara ni msemaji wa Yanga! Nimekuitikia "ok"!! Sasa hayo maneno mengine yanatoka wapi?
Sasa huoni tatizo hilo, unauliza swali na kujijibu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom