Ilikuwaje sayari zote zikawa na shape moja?

Ilikuwaje sayari zote zikawa na shape moja?

Jibu jepesi ni hili,bila kwenda kwenye technical details zozote

Asilimia kubwa ya "celestial objects" kama sayari na nyota huwa zina "assume" spherical shapes kwa sababu ya "Gravitation"

Gravitation INA sifa ya kuvuta kitu "towards the center" na katika kila possible directions
So hivi vitu vinavyovutwa towards the "center" na "from all possible directions" zina form "spherical shape" na ndiyo maana sayari nyingi zimechukua umbo la tufe

Kama hayo maelezo yangu juu bado yanachanganya

Imagine hivi

Una ma billions ya vijiwe vidogo vidogo sana au goroli ambavyo vimetapakaa ina all possible directions (juu,chini,kushoto,kulia,etc)

Na ghafla vyote vikaanza kuvutwa na nguvu inayovilazimisha kuja katikati

Unahisi umbo ipi hivyo vijiwe au goroli vitatengeneza baada ya kuvutwa na kushikamana pamoja?

Tufe!
 
Pole.

Unachopenda kufahamu si 'fumbo kwa imani' ijapokuwa utahitaji kuandaa nafasi akilini kwa mapana ya uono, visomo anuai na sayansi inayoanza na maumbo yaani 'fizikia ya kawaida' kupitilizia hadi kwenye 'metafizikia'...

Tatizo jamii yetu inafundisha sayansi kwa lugha ya kigeni halafu hakuna jitihada za kuhakikisha tunatengeneza mkondo wa elimu kwa lugha ya Kiswahili...

Hayo yote niliyokupachikia ninaweza kuyatafsiri kuja katika lugha ya Kiswahili--lakini uwezekano ni mkubwa kwa wengi kuja kudai "Kiswahili kinachotumika ni kigumu" ama oh "Kiswahili cha zaidi ya 'google translate..."

Sasa, labda nikuache usome pasi na papara yoyote... Halafu ukijisikia hamu kupenda kunyooshewa uono basi niite tumulike jambo...

Hizo tundiko mbili zina mwangaza kwa haja yako juu ya kweli za maumbo, asili mienendo... Ambacho kinakupita pembeni ni ubainifu wa namna gani akili zetu 'hutupeleka chaka' kwa udhamirifu wa majawabu mepesi kwa maswali magumu ama tata...

Hebu tufanye mazungumzo-- lakini niruhusu kukutathmini akili, wakati hata wakati kadri ifaavyo, utakavyokuwa ukihoji lolote. Je, uko tayari?

Ukiwa tayari anza...
Nakusubiri wewe tu mkuu mi niko tayari sana


Atleast hii ya pili kidogo ndo nimeianza nadokoa dokoa ila hiyo ya kwanza na hata ya pili tu ikiwezekana naomba ufafanuzi mkuu
 
Pole.

Unachopenda kufahamu si 'fumbo kwa imani' ijapokuwa utahitaji kuandaa nafasi akilini kwa mapana ya uono, visomo anuai na sayansi inayoanza na maumbo yaani 'fizikia ya kawaida' kupitilizia hadi kwenye 'metafizikia'...

Tatizo jamii yetu inafundisha sayansi kwa lugha ya kigeni halafu hakuna jitihada za kuhakikisha tunatengeneza mkondo wa elimu kwa lugha ya Kiswahili...

Hayo yote niliyokupachikia ninaweza kuyatafsiri kuja katika lugha ya Kiswahili--lakini uwezekano ni mkubwa kwa wengi kuja kudai "Kiswahili kinachotumika ni kigumu" ama oh "Kiswahili cha zaidi ya 'google translate..."

Sasa, labda nikuache usome pasi na papara yoyote... Halafu ukijisikia hamu kupenda kunyooshewa uono basi niite tumulike jambo...

Hizo tundiko mbili zina mwangaza kwa haja yako juu ya kweli za maumbo, asili mienendo... Ambacho kinakupita pembeni ni ubainifu wa namna gani akili zetu 'hutupeleka chaka' kwa udhamirifu wa majawabu mepesi kwa maswali magumu ama tata...

Hebu tufanye mazungumzo-- lakini niruhusu kukutathmini akili, wakati hata wakati kadri ifaavyo, utakavyokuwa ukihoji lolote. Je, uko tayari?

Ukiwa tayari anza...
Hayo maelezo yako yote nmeyakopi kwenye daftari kabisa mkuu ili nipate muda mzuri wa kuyasoma maana hiyo topic inanitatizaga sana
 
Hauamini kwasababu hakuna sufficient evidences za Ku support Big bang

Au huamini kwasababu ya prior religious convictions?

Au huamini kwasababu umeshindwa Ku "comprehend" kivipi ulimwengu wote unaweza elezewa na Big bang?
Kwa upande wa dini nisingethubutu hata kuulizia hilo kwa sababu ningesema ni kazi ya Mungu
Hapa siamini sana kwa sababu evidences zinazosupport hiyo theory naona kama hazinishawishi hivi kulingana na nature ya space
Kibaya zaidi kwangu,kila theory imeorodheshewa udhaifu ko nashindwa kuona ipi angalau inakaribia japo wengi wanasema inayokaribia ukweli ni big bang
 
Kwa upande wa dini nisingethubutu hata kuulizia hilo kwa sababu ningesema ni kazi ya Mungu
Hapa siamini sana kwa sababu evidences zinazosupport hiyo theory naona kama hazinishawishi hivi kulingana na nature ya space
Kibaya zaidi kwangu,kila theory imeorodheshewa udhaifu ko nashindwa kuona ipi angalau inakaribia japo wengi wanasema inayokaribia ukweli ni big bang
Science is self correcting system of gathering facts

Hai claim kuwa na eternal & unchanging truth kama vitabu vya dini

So hakuna theory ambayo haina weakness,lakini weakness ya theory haina maana kuwa hio theory ni false au meangless
Ina maana kuwa kuna baadhi ya vitu nje ya scope ya hio theory na kuna hopes ya kurekebishwa baadae

Kitu kinachofanya theory kukubalika ni kitu kimoja,

Uwezo wake Wa kuelezea "observations" kwa kutumia "few assumptions possible"
(Refer Occam's razor principle)

Big bang theory ina stand kama namba moja kwa sababu imeweza kuelezea current observations na Ku predict nyingine ambazo tulikua hatuzifahamu

Hio ndiyo principle ambayo inabidi kuitumia siku nyingine unapotaka Ku decide theory IPI uifate

Mfano "Creationism theory" kama ilivyo narrated na Kitabu cha Genesis kina a lot of assumptions na yet hakiwezi kuelezea most observations kama ilivyofanya Big bang kuhusu ulimwengu

The same with Evolution, scientists wanachangua evolution sio kwa sababu wana pinga "Mungu" ila kwasababu Evolution imeweza kuelezea a lot of observations uki compare na theory yoyote ile on origin of life with fewest assumptions

Kumbuka,kadri theory inavyo tumia assumptions nyingi ndivyo kunavyopunguza chance ya hio theory kuwa correct

So Big bang theory ndio jibu sahihi zaidi kuhusu asili ya ulimwengu kwa sasa
 
Nakusubiri wewe tu mkuu mi niko tayari sana


Atleast hii ya pili kidogo ndo nimeianza nadokoa dokoa ila hiyo ya kwanza na hata ya pili tu ikiwezekana naomba ufafanuzi mkuu
Sawa.

Siyo kwamba ninataka kukufafanulia jambo... Ninapenda kukuwezesha uwe na ujuzi wa kung'amua ukweli ama ubayana wa mambo kadri ilivyo kwangu.

Kwa hiyo pitia hiyo mitizamo na mawaidha, ukihisi kama picha inakuja inakwenda hivi basi hapo panaweza kuwa mahala pazuri kuniita na kuniuliza jambo...

Wajibu wangu ni 'kukunyooshea' njia... Wewe kuwa tayari kutembea na kusonga...

Hmmm
 
Usiamini kila unachosikia...

Ngoja waje kukupa muongozo...
 
Back
Top Bottom