Na kama ni simu mpya weeee acha tu hilo wenge lakeAhahahahha nasikia kile kitendo cha kujisachi mfukoni na kukuta huna simu...
Pale mapigo ya moyo huwa kasi sana kiasi ambacho kama ulikua na haja inaweza kutoka gafula mkuu
Ndio maana nakuaga na begi mda wote maana ndo nakua nimeweka vitu katika usalamaNa kama ni simu mpya weeee acha tu hilo wenge lake
hata kuelezea tu namna nimetapeliwa ni aibu mkuu, watu watanicheka balaa..!!πI wish ungeenda deep kwenye hiyo simu ya tatu.
Yalishapita we tupe kisa tujichekee tu. πhata kuelezea tu namna nimetapeliwa ni aibu mkuu, watu watanicheka balaa..!!π
Au Chuo cha BibliaChuo cha biblia
Shule mnafundishwa ujinga? Ghafla ndicho kiswahiliAhahahahha nasikia kile kitendo cha kujisachi mfukoni na kukuta huna simu...
Pale mapigo ya moyo huwa kasi sana kiasi ambacho kama ulikua na haja inaweza kutoka gafula mkuu
Una bahati pm yako imefungwa ila nilitaka nikupolomoshee matusi ya haja mpaka ujute...Shule mnafundishwa ujinga? Ghafla ndicho kiswahili
Ujuaji mwingiUna bahati pm yako imefungwa ila nilitaka nikupolomoshee matusi ya haja mpaka ujute...
Sawa sawaUjuaji mwingi