Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Ilikuwaje ukajihusisha kimapenzi na mume au mke wa mtu?

Nimetafakariiiii nimeamua nami nitoe yangu, nimeshakulana na na waume za watu wawili 🤣 🤣 🤣 🤣 akati huo niko advance nlikutana na dr Victor nkiwa natibiwa hospitalini hapo alinipenda ila mi skuwa nampenda kiukweli ila alikuwa ananipa ela uyo, sku moja mke wake kanipigia simu kwa namba ya mumewe, eti "we mtoto unajua wameshapita wangapi wanatuacha? Endelea unachotafuta utakipata nlitetemeka, nlilowa jasho, skula sku nzima nikiwaza ile kauli, nawaza inamaana ni waathirika? Ila mbona tulipima? Aaaaghhhrr nlichoka, nkajua kukutana na mwingine kipindi iko nimezinguana na mchumba nimekataa asinioe na pete nkamrudishia mama ake (ex mama mkwe) ampe kijana wake, tukiwa ofisi moja afu boss wangu tulidumu miaka miwili adi nakutana na mr wangu alonioa ila nlimpenda yule baba na alikuwa mtu mzima na yeye alikolea hasa, alikuwa hana shida yaani adi raha kuwa mchepuko, akizingua nami nazingua adi anapiga goti ananiomba msamaha hahahahaa uku naangalia account pia ili nkija kuachwa nsibaki mtupu najua kina Khantwe Sky Eclat manengelo mtanielewa



🤣🤣🤣🤣...!🤣🤣🤣🤣🤣!hahahhaa..hatari tupu!lazima una mmis mchepuko!
 
🤣🤣🤣🤣...!🤣🤣🤣🤣🤣!hahahhaa..hatari tupu!lazima una mmis mchepuko!
🤣 🤣 🤣 yaan kuna muda mr anazingua nataman kumringishia vya enzi izo afu bahati mbaya sjui ilikuwaje akamjua nkakuta ana namba ake kasave km nlivyosave mm🤣🤣🤣🤣
 
🤣 🤣 🤣 yaan kuna muda mr anazingua nataman kumringishia vya enzi izo afu bahati mbaya sjui ilikuwaje akamjua nkakuta ana namba ake kasave km nlivyosave mm🤣🤣🤣🤣


Mkaa gunia 4 unahusu shost🤣🤣🤣!hujaogopa?uwiii👯👯👯!
 
Ama kwa hakika wewe ni sweet 16
Nimetafakariiiii nimeamua nami nitoe yangu, nimeshakulana na na waume za watu wawili [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] akati huo niko advance nlikutana na dr Victor nkiwa natibiwa hospitalini hapo alinipenda ila mi skuwa nampenda kiukweli ila alikuwa ananipa ela uyo, sku moja mke wake kanipigia simu kwa namba ya mumewe, eti "we mtoto unajua wameshapita wangapi wanatuacha? Endelea unachotafuta utakipata nlitetemeka, nlilowa jasho, skula sku nzima nikiwaza ile kauli, nawaza inamaana ni waathirika? Ila mbona tulipima? Aaaaghhhrr nlichoka, nkajua kukutana na mwingine kipindi iko nimezinguana na mchumba nimekataa asinioe na pete nkamrudishia mama ake (ex mama mkwe) ampe kijana wake, tukiwa ofisi moja afu boss wangu tulidumu miaka miwili adi nakutana na mr wangu alonioa ila nlimpenda yule baba na alikuwa mtu mzima na yeye alikolea hasa, alikuwa hana shida yaani adi raha kuwa mchepuko, akizingua nami nazingua adi anapiga goti ananiomba msamaha hahahahaa uku naangalia account pia ili nkija kuachwa nsibaki mtupu najua kina Khantwe Sky Eclat manengelo mtanielewa
 
CL cjui Communication skills haina application youote ile...but nachooamini umeelewa...pia hauna sehemu nimevunja kanuni za uandishi za mitaani labda useme za ofisini
Kama unaongea vibaya mtaani unadhani ofisini utongea vizuri ??
 
Katika mishe zangu za utekelezaji wa shughuli zangu,nilikutana na dada mmoja maeneo site ilipokuwepo. Nikarusha ndoano akazingua lakini baada ya wiki mbili akatoa tunda. Kila weekend akitoka church ananitafuta,tunaelekea sehemu tulivu kabisa tunazawadiana.

Juzi nimepiga simu anaongea kidogo anakata, nikipiga tena ninachoonhea anajibu kitu kingine kabisa. Haikupita muda ikapiga simu njemba moja inatoa povu balaa.

Ila niliua so,kutokana na story ya huyo dada,nilikuwa najua anapofanya kazi, namjua boss wake. Mume alipokuja juu,nilijifanya boss wa mke wake,jamaa akawa mpole balaa.

Nimepanga Kesho naonana na mpenzi wangu tunapeana tena.
umalaya aulipi.
 
Mwezi uliopita nilikuwa mwanza katika matembezi nikakutana na mmama anatembeza karanga za kuchemsha alikuwa ni mjaluo ana mzigo sanchoka akasome afu mweusi,nilimpita nikampa salamu ila nilipofika mbele ikabidi nigeuke alipofika mbali kidogo nilirudi nikaanza mfatilia nyuma nyuma kuanzia mitaa ya Ghana hadi karibu na nera zilipo ofisi za halmashauri,wakazi wa mwanza watakuwa wanapafahamu. Nilipomfikia nikaanza kuzuga na stori na hakuonesha kushoboka wala nini, ikabidi niingie na gia ya kununua karanga zote.kufupisha stori alinipa namba kwa sharti la kutompigia kuanzia saa 12 jioni kwani mumewe anakuwepo. Kesho yake nilimpanga tukaonana mitaa ya kilimahewa akaingia gesti na karanga zake nikala mzigo.

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Hao waliojazia wapo wengi sana magu stand Kwa wingi nimekula mmoja nae kaolewa
 
Ukitembea na mke wa mtu, ujue wewe muda wote unaweza kufa.au chochote kibaya kinaweza kukuta. Unaweza chomeka mkang'ang'aniana hapo na jamaa anataka milioni 3. Mimi mke wangu nimemuweka dawa yaani jamaa mwingine akichomeka mashine tu. Haifanyi kazi milele ndiyo unakuwa hanithi hivyo. Siku ukinitafuta niirudishe ifanye kazi inabidi nikupige mashine siku nzima yaani masaa 12. Unatoa hela ya KY, Chumba cha guest na hela ya chakula, maji na ukubali kurekodiwa kipindi unapigwa show. Tofauti na hapo tusijuane
Watu tunakutombea tu hakuna kitu unaweza fanya
 
Kwani nimewaambia watembee na mke wangu? Huyo ni mke wangu nimemtolea mahari na nimemuoa na pia namhudumia. Hakuna dhambi mbaya wala nzuri. Uasherati umekatazwa kwenye dini zote ndiyo maana unashauriwa uoe kama umeshindwa kujizuia ndiyo maana waislamu wanaruhusu hata kuoa wanawake 5. Duniani tunaishi kwa kutofautiana sana. Utakuta mwizi kaiba kuku kwa jamaa, na jamaa kamkamata na akumuachia bila kumfanya kitu chochote ila mwingine atakuua. Je, bata au simu inaweza kuwa sawa na uhai wa mtu? kama siyo sawa kawanini mtu anauliwa kwa kuiba bata?
KAMA VILE WEWE UNAVYOFURAHIA SANA KUTEMBEA NA WAKE ZA WATU NA MIMI PIA NAFURAHIA SANA KUTEMBEA NA WANAUME WANAOTEMBEA NA MKE WANGU.
Wacha wivu wa kisengerema, ule ni uchi wake na yupo huru kumpa yoyote anaempenda. Lazima tumle
 
Hivi jamani kwa nini wanaume wenzangu hapa mnaetumia neno "kumla" hivi hamjui kuwa mademu mnao sex nao huwa wameamua kusex nanyi baada ya kuwatongoza? Hivi hamjui kuwa na wao huwa wana enjoy na wanasex na nyinyi? Kwa nini mnaona kuwa mmewala na sio kuwa mmekulana? Kumbukeni kuwa you are fucking each other anaku please na wewe unamplease yeye!
 
Hivi jamani kwa nini wanaume wenzangu hapa mnaetumia neno "kumla" hivi hamjui kuwa mademu mnao sex nao huwa wameamua kusex nanyi baada ya kuwatongoza? Hivi hamjui kuwa na wao huwa wana enjoy na wanasex na nyinyi? Kwa nini mnaona kuwa mmewala na sio kuwa mmekulana? Kumbukeni kuwa you are fucking each other anaku please na wewe unamplease yeye!
Na wao waamzishe uzi wao wa kutula
 
Duh umeongoe fact Sana mzee ,kuna watu ni untouchable lazima ujute tuheshimu taasis inayoitwa ndoa nina jamaa yangu alishapotezwa kaacha watoto na mke wanateseka jamaa alikuwa fund mwenzangu boss anampa kaz jamaa kaanza kutembea na mke wa boss jamaa akakimbilia kwao songea hukohuko alifuatwa mwili ulikutwa tu barabaran boss mwenyewe ni mtu mzito anamigod yake huko chunya ,,chondechonde wanaume wenzangu tutakuja kuacha familia inateseka kisa nyege za dakika 2 na fedheha juu tuache kuchezea taasisi ya ndoa hata Kama mwanamke ndo analeta shobo kimbia labda Kama alifiwa na mumewe
Unafikiri Babu Seya na wanawe walifungwa kwa kosa gani? Unafikiri baba na watoto wanaweza kuwabaka watoto wote wale? na kipindi wanabakwa wale watoto walikuwa wapi? je, unaweza kuwakusanya wale watoto wote na mkaanza kuwaingilia bila majirani kujua?
- Yule jamaa wa The mafiki unafikiri aliuwawa kwa kosa gani?
Kuna watu wake zao huwa hawaliwi hata ukimla ukibainika lazima uache historia. Ni bora utembee na demu wa jamaa kuliko mke wa jamaa. Na kama umefika umri wa kuoa ni bora uoe kabisa kuliko kuanza kukimbizana na wake za watu.
MKE WA MTU SUMU
 
Back
Top Bottom