Ilikuwaje Ukakesha?

Kiokotee

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2022
Posts
1,675
Reaction score
2,211
Tueleze ile Siku Ulilazimika kukesha Nyumbani,Njiani,Kazini Au sehemu yeyote bila matarajio Yaani Ulijikuta tu Unatoboa Upende usipende. Namaanisha Jicho- Jicho yaani hukulala kabisaaa!!

.Mara ya Kwanza kusafiri kwa Ndege kubwa safari ndefu,Kwa kweli nilikuja kugundua kama nilikesha baada ya kufika safari yangu.
 
Nilipo nunua TV kwa mara ya kwanza miaka ya katikati ya 90 kama sikosei (kipindi cha world cup) mimi na majirani zangu nilipo panga na mwenye nyumba wote tulikesha kuja kustuka saa kumi na moja jogoo anawika...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Night shift
 
Assignment mkuu kwa wazee wa dead line wanajua

Muda huwa haurudi nyuma

Achana na kitu inaitwa kesho nayo siku
 
Wakati tupo chuo kuna marafiki zetu walifikia ghetto alafu vitanda havitoshi, basi wenyeji ilibidi tukeshe tuwapishe wao wapumzike tukizuga kuwa ni kawaida yetu kukesha hatari sana.
 
Nilipo nunua TV kwa mara ya kwanza miaka ya katikati ya 90 kama sikosei (kipindi cha world cup) mimi na majirani zangu nilipo panga na mwenye nyumba wote tulikesha kuja kustuka saa kumi na moja jogoo anawika...
Heee heee
Kumbe tuko na wababu humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…