Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya figisu zao wanazifanya kiboya sana wanapaswa waombe msaada kwa chama la wana kupitia kwa Born town.Dosari zilezile za uchaguzi uliopita kama hazitafanyiwa kazi mkenya mmoja akasikika akinena damu itamwagika tena
Ni uzuzu wa Watanzania kukaa kimya kiboya la sivyo kingekuwa kishanuka,hakuna figusi za kisayansi hapaKenya figisu zao wanazifanya kiboya sana wanapaswa waombe msaada kwa chama la wana kupitia kwa Born town.
Mlete tumsikilize wenyewe, siyo unamsemeaDosari zilezile za uchaguzi uliopita kama hazitafanyiwa kazi mkenya mmoja akasikika akinena damu itamwagika tena
Born town gani ww, mi mtz, Tz kuna mambo ya kipumbavu Sana na wananchi wengi ni mafisi tu, elimu ndogo ndio maana yanaiba kura na hayataki tume huru.Ni uzuzu wa Watanzania kukaa kimya kiboya la sivyo kingekuwa kishanuka,hakuna figusi za kisayansi hapa

HAPANA, MUNGU atuepushe na hayo yote, aliwazalo mjinga ndilo limpataloDosari zilezile za uchaguzi uliopita kama hazitafanyiwa kazi mkenya mmoja akasikika akinena damu itamwagika tena

Hizi tabia Kumbe zipo nchi nyingi maana huku kwetu Kuna mmoja alimtandika bakora mwenzie hadi akazimia
Mbunge wa Kenya ametoweka baada ya kudaiwa kumuua kwa kumpiga risasi msaidizi wa mpinzani wake Magharibi mwa Kenya.
Walioshuhudia wanadai Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa alimpiga mwanamume huyo kichwani wakati wa mabishano katika kituo cha kupigia kura kaunti ya Bungoma.
Polisi sasa wameanzisha msako wa kumtafuta mbunge anayewania muhula wa pili katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Wamempa saa 24 kujisalimisha kwa mamlaka zinazochunguza mauaji hayo. Bw Barasa si mgeni katika mabishano.
Mwaka jana, alikamatwa na kushtakiwa kwa kumshambulia mwanamuziki wa nchini humo. Habari zaidi zinasema aliwahi kuhudumu katika jeshi.