Ilishawahi kukutokea?

Mwanzoni lazima ikusumbue as ulikuwa na malengo makubwa kwake. Siku zinapozidi kwenda hasa ukipata wa kuchukua nafasi yake utagundua unaweza kumsahau tena utaanza kuzions kasoro zake.
 
Katika makundi manne ya watu duniani, inatajwa kwamba, wanadamu wanaopatikana kundi la melancholi, hawa ni kundi linalotajwa kuwa wakipenda wamependa, hawana nafasi ya kuwa na wapenzi makumi kwa mamia, mmoja tu anatosha, na ikitokea akatoswa ni masikitiko ya kutosha na hata anaweza amua kukaa single kwa miaka mingi tu.
Lakini kuna kundi linaitwa sanguine, hao wanatajwa kama wapenda ngono sana, na hawakai na mpenxzi mmoja kwa muda mrefu. Hao ni chapa ilale, na hata akielezwa kuhusu kutoswa ataishia kuitikia tu poa, na waweza mkuta ametoswa asubuhi jioni tayari ana mtu mwingine. Na hao, sanguine ndio unakuta mtaani wanafahamika kama jamvi la wageni(kwa wanawake), na mara nyingi kwa wanawake wa kundi la sanguine, wanatumika kama maji ya kunawia na yale ya kunywa yanapatikana eneo jingine.
 
Inategemeana na muhusika mwenyewe hakuna kanuni maalum, kuna baadhi ya watu inawatokea na kuna baadhi ya watu wengine mkimalizana, mmemalizana

du!!! natamani ningekua na moyo huo
 
Wanawake ndio wanapendaga kwa style iyo........
 

Funguka dada. Huo wazimu. sikujua kama hata wanaume wanatumia limbwata. how can you say huwezi pata mwingine. Kwani huyo umlijua kabla au nyote mmekutana mkiwa na meno 32 ya mtu mzima?.Dada utajajuta!!!
 
Mi sijawahi kutokewa kwa kweli na namuomba Mungu isitokee
 
If you cant control your feelings, count yourself as a looser.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…