Ilishawahi kukutokea?

Ilishawahi kukutokea?

hivi kutendwa kunakuwaje jamani!??
 
Yaah hasa kwa wanawake ipo sana hii.. Yaani wanaume wanavyowafanya wanawake lkn mmmmhh !!


unakuta mtu kakutenda vibaya na majigambo juu bt bado unampenda unashauriwa mpaka na wachungaji umsahau ,,pamoja na mabaya mengi alokutendea bado moyoni hatoki na kuona hutakuja kupata kama yeye au zaidi yake au huzani kama utakuja kufurahi/ kuishi bila yeye .
jmn ni wote huwa inawatokea au nikujiendekeza tu.
 
me iliwahi kunitokea.alinifanyia vituko akaniacha..akaoa mke mwingine mpaka sasa ni miaka miwili imepita lakini bado sijamsahau , nimefuta namba yake ya simu katika simu yangu..lakini bado kichwani ninayo.kweli mapenzi ni uchizi.
 
nina rafik yangu imemtokea hiyo ishu tena ye aliachwa kwa mbwembwe wakati wameshachumbiana bt still anampenda huyo mtu wake
 
Eeeeh imeishawahi kunitokea
Na uliwezaje kujipanga mpaka kurejea kwenye hali yako ya kawaida?

Na kwa mfano hai uliokutokea wewe unafikiri itakapotokea tena kwenye uhusiano mwingine utakubali kuwa muhanga kwa mara nyingine tena? au umeshajifunza na utaweza namna ya kuhimili iwapo ikitokea tena?

Labda kwa jibu utakaloleta utakuwa umemsaidia mleta mada kwa kiasi kikubwa
 
ts happens but time heal... n espcl ukijua KARMA ipo itankuta tuu na yy hyo disappointment...
 
Ilinitokea na iliondoka after fivve years of prayers.
 
Yaah hasa kwa wanawake ipo sana hii.. Yaani wanaume wanavyowafanya wanawake lkn mmmmhh !!

Asa kama umegundua mwanamke ni hewa sio wife material utaendelea kumvimbisha kichwa ya nini? Tupa kule tafuta ingine nzur jus like mjasiriamali
 
daa kutendwa noma,happened to me ingawa mi nilikuwa na makosa to some extent but kumsahau ni kazi sana....wanasema time heals all wounds so just hang in there
 
Unakuta mtu kakutenda vibaya na majigambo juu but bado unampenda unashauriwa mpaka na wachungaji umsahau pamoja na mabaya mengi alokutendea bado moyoni hatoki na kuona hutakuja kupata kama yeye au zaidi yake au hudhani kama utakuja kufurahi kama ukiishi bila yeye.

Jamani ni wote huwa inawatokea au nikujiendekeza tu.
Pole sana
 
Back
Top Bottom