Iliwezekana vipi Samsoni kukakamata Bweha 300 na kuwafunga vinge kwenye mikia yao?

Iliwezekana vipi Samsoni kukakamata Bweha 300 na kuwafunga vinge kwenye mikia yao?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Waamuzi 15:4 Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa vienge vya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia kienge kati ya kila mikia miwili.
5 Alipokwisha kuviwasha moto vile vienge, akawaachia mbweha kati ya ngano ya Wafilisti, akayateketeza matita, na ngano, hata na mashamba ya mizeituni.


Nikweli Samsoni alikuwa mnadhiri wa Mungu kama maandiko yasemavyo.Samsoni kaandikwa kwa mengi sana kuhusiana na nguvu zake ikiwa pamoja na kuwapiga wafilisiti 1000 kwa kutumia taya la punda tu(hapa napo kuna swali ila napaacha) ukiachana na lile tukio lake la mwisho la kuua wafilisti wengi zaidi.

Swali hawa mbweha kwanza aliwakamata vipi akawarundika hadi wakatimia 300 kisha akakusanya nyasi na kufunga vienge mikiani mwao wawili wawili wengine wametulia tu hadi anatimiza adhma yake?

Au zamani mbweha walikuwa wanafugwa?
 
Chai za kwenye Biblia hizo.

Humo humo kwenye Biblia kuna stori jamaa alishindnana na Mungu usiku kucha alfajiri Mungu akashindwa.

Wafia dini uliwauliza hii imekaaje wanaleta blah blah


Mwanzo 32:25 “Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.

26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.

27 Akamwuliza, Jina lako n’nani? Akasema, Yakobo.

28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda”.
 
Waamuzi 15:4 Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa vienge vya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia kienge kati ya kila mikia miwili.
5 Alipokwisha kuviwasha moto vile vienge, akawaachia mbweha kati ya ngano ya Wafilisti, akayateketeza matita, na ngano, hata na mashamba ya mizeituni.


Nikweli Samsoni alikuwa mnadhiri wa Mungu kama maandiko yasemavyo.Samsoni kaandikwa kwa mengi sana kuhusiana na nguvu zake ikiwa pamoja na kuwapiga wafilisiti 1000 kwa kutumia taya la punda tu(hapa napo kuna swali ila napaacha) ukiachana na lile tukio lake la mwisho la kuua wafilisti wengi zaidi.

Swali hawa mbweha kwanza aliwakamata vipi akawarundika hadi wakatimia 300 kisha akakusanya nyasi na kufunga vienge mikiani mwao wawili wawili wengine wametulia tu hadi anatimiza adhma yake?

Au zamani mbweha walikuwa wanafugwa?
Ebu ngoja Delila aje atupe majibu mkuu
 
Humo humo kwenye Biblia kuna stori jamaa alishindnana na Mungu usiku kucha alfajiri Mungu akashindwa.
Mwa 32:24
[24] Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.

Nimekusaidia kuweka mstari unaoeleza Yakobo alishindana na Mungu au mtu.

Kwa kukusaidia tu....

Biblia haipo sawa na kile kitabu cha mnyazi mungu so usiitafsiri aya moja katika Biblia kama una tafsiri kitabu cha mnyazi mungu
 
Mwa 32:24
[24] Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.

Nimekusaidia kuweka mstari unaoeleza Yakobo alishindana na Mungu au mtu.

Kwa kukusaidia tu....

Biblia haipo sawa na kile kitabu cha mnyazi mungu so usiitafsiri aya moja katika Biblia kama una tafsiri kitabu cha mnyazi mungu
Makafiri kazi mnayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwa 32:24
[24] Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.

Nimekusaidia kuweka mstari unaoeleza Yakobo alishindana na Mungu au mtu.

Kwa kukusaidia tu....

Biblia haipo sawa na kile kitabu cha mnyazi mungu so usiitafsiri aya moja katika Biblia kama una tafsiri kitabu cha mnyazi mungu
Na hizi ndiyo blah blah zenyewe sasa
 
Inasemekana nywele za Samson zilikuwa ndefu na ndizo zilikuwa siri ya nguvu zake. Nywele zake ziliponyolewa akaishiwa nguvu akakamatwa. Well,well,that is the official version.
But what happened ni kwamba Samson alikuwa anamtafuna Delilah tena na tena. And that depleted his energy.
 
Waamuzi 15:4 Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa vienge vya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia kienge kati ya kila mikia miwili.
5 Alipokwisha kuviwasha moto vile vienge, akawaachia mbweha kati ya ngano ya Wafilisti, akayateketeza matita, na ngano, hata na mashamba ya mizeituni.


Nikweli Samsoni alikuwa mnadhiri wa Mungu kama maandiko yasemavyo.Samsoni kaandikwa kwa mengi sana kuhusiana na nguvu zake ikiwa pamoja na kuwapiga wafilisiti 1000 kwa kutumia taya la punda tu(hapa napo kuna swali ila napaacha) ukiachana na lile tukio lake la mwisho la kuua wafilisti wengi zaidi.

Swali hawa mbweha kwanza aliwakamata vipi akawarundika hadi wakatimia 300 kisha akakusanya nyasi na kufunga vienge mikiani mwao wawili wawili wengine wametulia tu hadi anatimiza adhma yake?

Au zamani mbweha walikuwa wanafugwa?
Je unafahamu kwamba Samson alikuwa ni mnadhiri wa Mungu?
 
Waamuzi 15:4 Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa vienge vya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia kienge kati ya kila mikia miwili.
5 Alipokwisha kuviwasha moto vile vienge, akawaachia mbweha kati ya ngano ya Wafilisti, akayateketeza matita, na ngano, hata na mashamba ya mizeituni.


Nikweli Samsoni alikuwa mnadhiri wa Mungu kama maandiko yasemavyo.Samsoni kaandikwa kwa mengi sana kuhusiana na nguvu zake ikiwa pamoja na kuwapiga wafilisiti 1000 kwa kutumia taya la punda tu(hapa napo kuna swali ila napaacha) ukiachana na lile tukio lake la mwisho la kuua wafilisti wengi zaidi.

Swali hawa mbweha kwanza aliwakamata vipi akawarundika hadi wakatimia 300 kisha akakusanya nyasi na kufunga vienge mikiani mwao wawili wawili wengine wametulia tu hadi anatimiza adhma yake?

Au zamani mbweha walikuwa wanafugwa?
Hayo mavitabu yaliyoletwa kwenye majahazi ni story za kutunga tu, hakuna uhalisia hata kidogo
 
Back
Top Bottom