Iliwezekana vipi Samsoni kukakamata Bweha 300 na kuwafunga vinge kwenye mikia yao?

Iliwezekana vipi Samsoni kukakamata Bweha 300 na kuwafunga vinge kwenye mikia yao?

Mwa 32:24
[24] Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.

Nimekusaidia kuweka mstari unaoeleza Yakobo alishindana na Mungu au mtu.

Kwa kukusaidia tu....

Biblia haipo sawa na kile kitabu cha mnyazi mungu so usiitafsiri aya moja katika Biblia kama una tafsiri kitabu cha mnyazi mungu
Wewe ndiyo unajaribu kutetea uharo!

Hapo kamuona mtu alikuwa hamjui, aya za mbele ndipo anajua kuwa kamlima mweleka Mungu ndio maana kaomba baraka!
 
Haya tunayo jadili humu kwa kucritixe bible, nkwamba kuna watu wengi wanakuzunguka wanajua na wanafanya mambo ambayo laiti wabgeyaandika ungesema ni fix.

Mfano mechanism ambayo wanaingia ndan na kutukaba, wanao safiri na invisible night aircraft
 
Bibilia haikuandikwa kama hadithi za Mtume za manasaba. Bibilia ni habari za ukuu wa Mungu kwa Matendo yake kama yeye au kupitia kwa wateule wake. Ndio kitabu pekee kilichojaa miujiza mingi ya Ki-Mungu. Huku kwingine tunasoma tu kama Katiba za vyama vya siasa.
 
Chai za kwenye Biblia hizo.

Humo humo kwenye Biblia kuna stori jamaa alishindnana na Mungu usiku kucha alfajiri Mungu akashindwa.

Wafia dini uliwauliza hii imekaaje wanaleta blah blah


Mwanzo 32:25 “Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.

26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.

27 Akamwuliza, Jina lako n’nani? Akasema, Yakobo.

28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda”.
Stori za kwenye misahafu Kwa dini zote huwezi kuziprove kisayansi, Amini tu, Shida ni mwamba kadili bnadamu anavyokuwa na uelewa mkubwa ndivyo ana Kaa mbali na dini za kigeni.
 
Waamuzi 15:4 Samsoni akaenda akakamata mbweha mia tatu; kisha akatwaa vienge vya moto akawafunga mbweha mkia kwa mkia, akatia kienge kati ya kila mikia miwili.
5 Alipokwisha kuviwasha moto vile vienge, akawaachia mbweha kati ya ngano ya Wafilisti, akayateketeza matita, na ngano, hata na mashamba ya mizeituni.


Nikweli Samsoni alikuwa mnadhiri wa Mungu kama maandiko yasemavyo.Samsoni kaandikwa kwa mengi sana kuhusiana na nguvu zake ikiwa pamoja na kuwapiga wafilisiti 1000 kwa kutumia taya la punda tu(hapa napo kuna swali ila napaacha) ukiachana na lile tukio lake la mwisho la kuua wafilisti wengi zaidi.

Swali hawa mbweha kwanza aliwakamata vipi akawarundika hadi wakatimia 300 kisha akakusanya nyasi na kufunga vienge mikiani mwao wawili wawili wengine wametulia tu hadi anatimiza adhma yake?

Au zamani mbweha walikuwa wanafugwa?
Kabla ya hili kuna mambo mengi nyuma ambayo kwa akili ya kawaida huwezi elewa, kwanini unataka uelewe hili kwa akili ya kawaida?
 
Christians , Muslims &jaw , worship the same God, but have been fighting for the thousand of years , cause they disagree on who it is best messenger was.


Imagine , killing your brothers cause even though you all agree Domino's Pizza🍕 is the best , you disagree on who the best delivery boy is🤔
 
Unabishana na mipango ya Mungu? Sulemani aliwezaje kuoa wanawake 300 na mademu 700? Tulia acha kubishana na Mungu
 
Back
Top Bottom