Iliwezekana vipi Samsoni kukakamata Bweha 300 na kuwafunga vinge kwenye mikia yao?

Wewe ndiyo unajaribu kutetea uharo!

Hapo kamuona mtu alikuwa hamjui, aya za mbele ndipo anajua kuwa kamlima mweleka Mungu ndio maana kaomba baraka!
 
Haya tunayo jadili humu kwa kucritixe bible, nkwamba kuna watu wengi wanakuzunguka wanajua na wanafanya mambo ambayo laiti wabgeyaandika ungesema ni fix.

Mfano mechanism ambayo wanaingia ndan na kutukaba, wanao safiri na invisible night aircraft
 
Bibilia haikuandikwa kama hadithi za Mtume za manasaba. Bibilia ni habari za ukuu wa Mungu kwa Matendo yake kama yeye au kupitia kwa wateule wake. Ndio kitabu pekee kilichojaa miujiza mingi ya Ki-Mungu. Huku kwingine tunasoma tu kama Katiba za vyama vya siasa.
 
Stori za kwenye misahafu Kwa dini zote huwezi kuziprove kisayansi, Amini tu, Shida ni mwamba kadili bnadamu anavyokuwa na uelewa mkubwa ndivyo ana Kaa mbali na dini za kigeni.
 
Kabla ya hili kuna mambo mengi nyuma ambayo kwa akili ya kawaida huwezi elewa, kwanini unataka uelewe hili kwa akili ya kawaida?
 
Christians , Muslims &jaw , worship the same God, but have been fighting for the thousand of years , cause they disagree on who it is best messenger was.


Imagine , killing your brothers cause even though you all agree Domino's Pizza🍕 is the best , you disagree on who the best delivery boy is🤔
 
Unabishana na mipango ya Mungu? Sulemani aliwezaje kuoa wanawake 300 na mademu 700? Tulia acha kubishana na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…