Iliyopo inatekelezwa?

Iliyopo inatekelezwa?

Tibaiwa

Member
Joined
Sep 8, 2021
Posts
51
Reaction score
38
NIMEKUA JAPO NI KIDOGO.
Nimefikisha umri wa miaka 27, ninaishangaa akili yangu inayoanza kunirudisha miaka kumi na mitatu 13 nilipokuwa shule ya msingi huku ikiniambia itazame jamii yako.

Nilisoma adithi ya Kisa cha Simba na sungura, Simba alikuwa ni mfalme aliyeamua wazee wote wauwawe hakuhitaji jamii ya wazee, yeye aliwaona kama wategemezi na sio wazalishaji. Sungura alimficha babu yake na wazee wengine wakauwawa. Siku moja simba huyo alienda kwenye ngoma akanywa na kuzima (kulewa) alila mdomo wazi. Nyoka aliingia tumboni mwa simba yule kupitia mdomoni kwa kudhani ni pango. Simba alipata tabu sana, aliyekuja kumwokoa ni Babu yake Sungura kwa sharti la Sungura alipomtaka simba amtunze babu yake, babu sungura alikuja na panya na kumfinyia mdomoni mwa simba panya alipotoa sauti na nyoka aliisikia ile sauti alitoka mbio tumboni mwa simba. Babu sungura alimwachia yule panya na nyoka alipoona hivyo alimkimbiza hadi porini siku hiyo simba alipata tiba aliyokuwa ameikosa kwa muda mrefu.

Kisa hiki cha nitafakarisha juu ya Madai ya katiba mpya.

Najiuliza iliyopo haijitoshelezi?
watu watajibu ndio.
Nikijiuliza iliyopo inatekelezwa?
kila mmoja atajibu kwa matakwa yake.

Walioichonga dira ya Tanzania na kututangazia maadui watatu na wengine wa ziada bado tiba yao hawa maadui ipo kwenye katiba iliyopo, "tuitekeleze kwa ufanisi", kabla ya kuiterekeza na kudai mpya.

Uhuru wa vyama vya Siasa bado hupo humu, mfumo wa vyama vingi bado hupo humu, mgombea binafsi bado yupo humu, Ukomo wa madaraka bado hupo humu, uhuru wa kutoa maoni bado hupo humu, tume ya uchaguzi huru bado ipo humu, Viongozi kuongoza chini ya katiba bado vipo humu.
Kabla ya kuidai mpya inabidi kuisoma vizuri iliyopo na kuitekeleza ijapokuwa mabadiliko yanahitajika kulingana na sayansi na teknolojia ya sasa lakini itekelezwe kwa vitendo hii iliyopo bila ya kuibaka/kuipoka nguvu iliyonayo.
#iliyopoinatekelezwa??
 
NIMEKUA JAPO NI KIDOGO.
Nimefikisha umri wa miaka 27, ninaishangaa akili yangu inayoanza kunirudisha miaka kumi na mitatu 13 nilipokuwa shule ya msingi huku ikiniambia itazame jamii yako.

Nilisoma adithi ya Kisa cha Simba na sungura, Simba alikuwa ni mfalme aliyeamua wazee wote wauwawe hakuhitaji jamii ya wazee, yeye aliwaona kama wategemezi na sio wazalishaji. Sungura alimficha babu yake na wazee wengine wakauwawa. Siku moja simba huyo alienda kwenye ngoma akanywa na kuzima (kulewa) alila mdomo wazi. Nyoka aliingia tumboni mwa simba yule kupitia mdomoni kwa kudhani ni pango. Simba alipata tabu sana, aliyekuja kumwokoa ni Babu yake Sungura kwa sharti la Sungura alipomtaka simba amtunze babu yake, babu sungura alikuja na panya na kumfinyia mdomoni mwa simba panya alipotoa sauti na nyoka aliisikia ile sauti alitoka mbio tumboni mwa simba. Babu sungura alimwachia yule panya na nyoka alipoona hivyo alimkimbiza hadi porini siku hiyo simba alipata tiba aliyokuwa ameikosa kwa muda mrefu.

Kisa hiki cha nitafakarisha juu ya Madai ya katiba mpya.

Najiuliza iliyopo haijitoshelezi?
watu watajibu ndio.
Nikijiuliza iliyopo inatekelezwa?
kila mmoja atajibu kwa matakwa yake.

Walioichonga dira ya Tanzania na kututangazia maadui watatu na wengine wa ziada bado tiba yao hawa maadui ipo kwenye katiba iliyopo, "tuitekeleze kwa ufanisi", kabla ya kuiterekeza na kudai mpya.

Uhuru wa vyama vya Siasa bado hupo humu, mfumo wa vyama vingi bado hupo humu, mgombea binafsi bado yupo humu, Ukomo wa madaraka bado hupo humu, uhuru wa kutoa maoni bado hupo humu, tume ya uchaguzi huru bado ipo humu, Viongozi kuongoza chini ya katiba bado vipo humu.
Kabla ya kuidai mpya inabidi kuisoma vizuri iliyopo na kuitekeleza ijapokuwa mabadiliko yanahitajika kulingana na sayansi na teknolojia ya sasa lakini itekelezwe kwa vitendo hii iliyopo bila ya kuibaka/kuipoka nguvu iliyonayo.
#iliyopoinatekelezwa??
Katiba hii tuliyonayo sasa tukiamua kwamba tuitekeleze kama inavyotaka na kwa kuzingatia mambo angalau matatu tu ambayo ni
TUACHE KULA RUSHWA
TUACHE KUIBA
TUCHAPE KAZI KAMA INAVYOTAKIWA

Tukitekeleza haya matatu ukweli ni kwamba ndani ya kipindi cha miaka kama mitano tu ijayo, tunaweza kuwa na maendeleo mara kumi zaidi ya haya tuliyonayo sasa

Mimi huwa naona kama motive ya watu kutaka Katiba mpya ni ili waweze kupunguza mamlaka ya Rais au Serikali na hivyo serikali isiendelee kuwabugudhi tena kwenye mambo kama ya ubadhirifu wa mali za uma au kwenye uwajibikaji. Watu wangependa Rais awe na uwezo mdogo sana wa kudhibiti uendeshaji wa nchi ili waweze kuwa huru kufanya chochote kile wanachotka

Tuseme kwa mfano, kwani mtu kutokula rushwa au kutokuiba mali ya umma, au kuwajibika kwa kufanya kazi vizuri, unawahitaji tena CCM au CHADEMA wakuambie hilo kwamba kula rushwa au kutokuwajibika kazini ni makosa, wakati Katiba imesema hilo?

Je, haya mambo hayajakatzwa kwenye Katiba ya sasa? Na kama yamekatazwa, kwa nini watu bado wanaendelea kuyafanya? Je, tukiandika Katiba mpya, haya mambo hayataendelea kufanywa?

TUNACHOHITAJI NI KUJENGA DISCIPLINE MPYA NA SIYO KUANDIKA KATIBA MPYA. KATIBA NI MAANDISHI TU, AMBAYO HATA SASA HIVI TUNAYO.
 
Katiba hii tuliyonayo sasa tukiamua kwamba tuitekeleze kama inavyotaka na kwa kuzingatia mambo angalau matatu tu ambayo ni
TUACHE KULA RUSHWA
TUACHE KUIBA
TUCHAPE KAZI KAMA INAVYOTAKIWA

Tukitekeleza haya matatu ukweli ni kwamba ndani ya kipindi cha miaka kama mitano tu ijayo, tunaweza kuwa na maendeleo mara kumi zaidi ya haya tuliyonayo sasa

Mimi huwa naona kama motive ya watu kutaka Katiba mpya ni ili waweze kupunguza mamlaka ya Rais au Serikali na hivyo serikali isiendelee kuwabugudhi tena kwenye mambo kama ya ubadhirifu wa mali za uma au kwenye uwajibikaji. Watu wangependa Rais awe na uwezo mdogo sana wa kudhibiti uendeshaji wa nchi ili waweze kuwa huru kufanya chochote kile wanachotka

Tuseme kwa mfano, kwani mtu kutokula rushwa au kutokuiba mali ya umma, au kuwajibika kwa kufanya kazi vizuri, unawahitaji tena CCM au CHADEMA wakuambie hilo kwamba kula rushwa au kutokuwajibika kazini ni makosa, wakati Katiba imesema hilo?

Je, haya mambo hayajakatzwa kwenye Katiba ya sasa? Na kama yamekatazwa, kwa nini watu bado wanaendelea kuyafanya? Je, tukiandika Katiba mpya, haya mambo hayataendelea kufanywa?

TUNACHOHITAJI NI KUJENGA DISCIPLINE MPYA NA SIYO KUANDIKA KATIBA MPYA. KATIBA NI MAANDISHI TU, AMBAYO HATA SASA HIVI TUNAYO.
U makini kwa ulichokiandika.
Mambo yako matatu uliyoorodhesha
1. Kupinga rushwa
2. Wizi
3. Uchapakazi
Ni miongoni mwa misingi ya kufikia maendeleo.
Na hivi vyote bado vipo kwenye katiba, tunahitaji watu safi wa kusimamia kweli na haki ambavyo bado vipo kwenye katiba iliyopo hata mpya ishuke leo lakini tukawa na watu wasio safi na wenye kuangalia maslahi ya umma tutakua tunakata shina huku tukimwagilia maji mizizi iendelee kuota.
 
Sio kwamba iliyopo haitekelezwi la hash iliyopo inatekelezwa sema Ina mapungufu makubwa sana. Na wanaifurahia kwa sababu Ina mapungufu. Leo hii Kuna Sheria Kali za kunyonga China, we unafikiri kinachofanya heshina iwepo sio Sheria? Ile Sheria ndio inafanya watu waheshimu na wajue hawako juu ya Sheria. .

Watu hawavunji Sheria Bali Sheria haziwafungi na zinawalinda wao na sio wananchi. .
 
Sio kwamba iliyopo haitekelezwi la hash iliyopo inatekelezwa sema Ina mapungufu makubwa sana. Na wanaifurahia kwa sababu Ina mapungufu. Leo hii Kuna Sheria Kali za kunyonga China, we unafikiri kinachofanya heshina iwepo sio Sheria? Ile Sheria ndio inafanya watu waheshimu na wajue hawako juu ya Sheria. .

Watu hawavunji Sheria Bali Sheria haziwafungi na zinawalinda wao na sio wananchi. .
Ninavyojua kuna katiba ya kuandika na isiyo ya kuandika na hisi hata pia kwenye sheria.
Mfano tukipata rais mzalendo hakatoa tamko kuwa richa ya katiba kutomruhusu kushitakiwa lakini hakifanya jambo la ovyo pasipo maslahi ya nchi ashitakiwe hata kwa kula kiapo kidogo (kudhibitisha kimaandishi) ili jambo haliwezekani? na licha ya hii bado kuna vitu vidogovidogo vinavyohitaji utekelezaji kwenye katiba iliyopo ili kufika hile mpya inayohitajika.
Mbali na haya tunaitaji kwanza
1. Mzalendo.
2. Mwenye utu.
3.Anayejali raia katika kuyafikia maendeleo.
4. Mwenye misimamo dhabiti bila kuyumbishwa na wasio waza chanya.
5. Anayeiheshimu katiba iliyopo kwa sasa na kuitekeleza kwa vitendo.
 
Back
Top Bottom