I'll marry for money and my kids will marry for love

I'll marry for money and my kids will marry for love

Watoto hawajafika hoe phase wakifika ndio utajua ni hela au ni love ... huwez kuwa na maamuzi ya namna gani mwanao aolewe na mtu gani, tena wa hivi ndio wanakuaga wa kwanza kumwambia watoto wao wawapige chini broke guys...
Zamani mwanamke kama huyo alikuwa anaitwa shangingi au papa la mjini, lakini siku hizi wanaitwa sijui ma-celebrity, sijui ma-influencer. Waliitwa ''papa'' wakifananishwa na yule samaki mkubwa anayeitwa papa, kuwa huwezi kumla peke yako, bali anakatwa vipande vipande na kila mwenye fedha yake ananunua na kula kwa wakati wake.
 
Zamani mwanamke kama huyo alikuwa anaitwa shangingi au papa la mjini, lakini siku hizi wanaitwa sijui ma-celebrity, sijui ma-influencer. Waliitwa ''papa'' wakifananishwa na yule samaki mkubwa anayeitwa papa, kuwa huwezi kumla peke yako, bali anakatwa vipande vipande na kila mwenye fedha yake ananunua na kula kwa wakati wake.
Wanaitwa bad girl
 
I did that, sijawahi kujuta!!
Huko mbele kwa mbele mtapendana tu, na kama hamtapendana mtavumiliana, basi.

giphy.gif
 
Zamani mwanamke kama huyo alikuwa anaitwa shangingi au papa la mjini, lakini siku hizi wanaitwa sijui ma-celebrity, sijui ma-influencer. Waliitwa ''papa'' wakifananishwa na yule samaki mkubwa anayeitwa papa, kuwa huwezi kumla peke yako, bali anakatwa vipande vipande na kila mwenye fedha yake ananunua na kula kwa wakati wake.
Leo ndiyo nimeelewa tafsiri halisi ya malaya kuitwa 'papa'!
 
Back
Top Bottom