Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani mwanamke kama huyo alikuwa anaitwa shangingi au papa la mjini, lakini siku hizi wanaitwa sijui ma-celebrity, sijui ma-influencer. Waliitwa ''papa'' wakifananishwa na yule samaki mkubwa anayeitwa papa, kuwa huwezi kumla peke yako, bali anakatwa vipande vipande na kila mwenye fedha yake ananunua na kula kwa wakati wake.Watoto hawajafika hoe phase wakifika ndio utajua ni hela au ni love ... huwez kuwa na maamuzi ya namna gani mwanao aolewe na mtu gani, tena wa hivi ndio wanakuaga wa kwanza kumwambia watoto wao wawapige chini broke guys...
Sana, na asikudanganya mtu kuwa kuna wanaume eti ma-handsome na wabaya. Wanawake wanaona wanaume wenye hela na wasio na hela tu, hayo mengine ni bullshit.Hela ni nzuri jamani
Nipo upande wa mobeto
Aisee kweliiiSana, na asikudanganya mtu kuwa kuna wanaume eti ma-handsome na wabaya. Wanawake wanaona wanaume wenye hela na wasio na hela tu, hayo mengine ni bullshit.
Naolewa na tajiri alafu wao watatafuta true loveWatoto hawajafika hoe phase wakifika ndio utajua ni hela au ni love ... huwez kuwa na maamuzi ya namna gani mwanao aolewe na mtu gani, tena wa hivi ndio wanakuaga wa kwanza kumwambia watoto wao wawapige chini broke guys...
Wanaitwa bad girlZamani mwanamke kama huyo alikuwa anaitwa shangingi au papa la mjini, lakini siku hizi wanaitwa sijui ma-celebrity, sijui ma-influencer. Waliitwa ''papa'' wakifananishwa na yule samaki mkubwa anayeitwa papa, kuwa huwezi kumla peke yako, bali anakatwa vipande vipande na kila mwenye fedha yake ananunua na kula kwa wakati wake.
Baba zenu wanapokosa akili ya kufanikiwa mje taratibu asee😆Ata yy baba yake angetafuta hela
Haiwezekani, wewe wazazi wako wamekuchagulia nan awe anakukaza na mwenye financial status fulan ?Naolewa na tajiri alafu wao watatafuta true love
You're handsome but no food and no clothing can your wife eat your good looking and dress itAsante sana Hamissa Mobeto
Leo ndiyo nimeelewa tafsiri halisi ya malaya kuitwa 'papa'!Zamani mwanamke kama huyo alikuwa anaitwa shangingi au papa la mjini, lakini siku hizi wanaitwa sijui ma-celebrity, sijui ma-influencer. Waliitwa ''papa'' wakifananishwa na yule samaki mkubwa anayeitwa papa, kuwa huwezi kumla peke yako, bali anakatwa vipande vipande na kila mwenye fedha yake ananunua na kula kwa wakati wake.