I go for money true love ntapata kwa GodWanawake bwana..
Aziz is One Salary away from Poverty...
Kaz anayofanya iki seaze na maisha yanabadilika...
Ila Mwanaume kuowa mwanamke mwenye watoto baba tofauti... Nampa hongera huyo dada, hata kama ni vipi, amecheza kama pele..
Dogo anaenda penzini kuogelea
Anyways ni maisha ya maslay queen na ma celebrity wa bongo ila
Ukipata fala kama huyo usilaze damu.
AiseeMhm kabla ya hamisa kutamba amwite baba yake mbwa kwa kumzaa familia maskini.
Ngoja nichukue mwenye helaSijaipata idhara kwangu ulipomchukua.....
Kwa vile sina papara nami nikakuachia......
HAMISA MOBETO NAKUTAKIA KILA LA KHERY KWENYE NDOA YAKO........
Usisikilize walimwengu hawana wema.....
Hawana wema hao......
Wangekuwa dada zao wange ufyata..
MOBETO waanyooshe danga kwa akili
Hatimae Mrs ki.... Hata ndoa ikavunjika sasa una historia ya kusitirika....
Safi sanaMnapoolewa na wenye hela muwe mnatulia pia tukitaka kuendelea kufurahia pesa zetu
View attachment 3243131
Role model wangu Prince Ned Nwoko
Chawa kwenye anga zake.Sijaipata idhara kwangu ulipomchukua.....
Kwa vile sina papara nami nikakuachia......
HAMISA MOBETO NAKUTAKIA KILA LA KHERY KWENYE NDOA YAKO........
Usisikilize walimwengu hawana wema.....
Hawana wema hao......
Wangekuwa dada zao wange ufyata..
MOBETO waanyooshe danga kwa akili
Hatimae Mrs ki.... Hata ndoa ikavunjika sasa una historia ya kusitirika....
Utakula mapenzi? Nenda kwenye helaNgoja nichukue mwenye hela
Unawezaje kuwachagulia watoto?Ntachagua mwenyewe
Hapana ndugu nasema tuu ukweli nipe kazi boss wanguChawa kwenye anga zake.
Njoo kwangu nikuspoil.Ngoja nichukue mwenye hela
I have no issues with your choice...I go for money true love ntapata kwa God
Naonaa mkuu unajipaa moyo,hahahaSana, na asikudanganya mtu kuwa kuna wanaume eti ma-handsome na wabaya. Wanawake wanaona wanaume wenye hela na wasio na hela tu, hayo mengine ni bullshit.