I'll marry for money and my kids will marry for love

Wanawake bwana..

Aziz is One Salary away from Poverty...

Kaz anayofanya iki seaze na maisha yanabadilika...

Ila Mwanaume kuowa mwanamke mwenye watoto baba tofauti... Nampa hongera huyo dada, hata kama ni vipi, amecheza kama pele..

Dogo anaenda penzini kuogelea

Anyways ni maisha ya maslay queen na ma celebrity wa bongo ila

Ukipata fala kama huyo usilaze damu.
 
I go for money true love ntapata kwa God
 
Sijaipata idhara kwangu ulipomchukua.....

Kwa vile sina papara nami nikakuachia......

HAMISA MOBETO NAKUTAKIA KILA LA KHERY KWENYE NDOA YAKO........

Usisikilize walimwengu hawana wema.....

Hawana wema hao......

Wangekuwa dada zao wange ufyata..

MOBETO waanyooshe danga kwa akili

Hatimae Mrs ki.... Hata ndoa ikavunjika sasa una historia ya kusitirika....
 
Ngoja nichukue mwenye hela
 
Chawa kwenye anga zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…