Illuminati or Perfectibilists in Tanzania

Kwa kuongezea mkuu zipo kama Rossicrussian, club of Rome, Theosophical society, knight of Columbus n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa andiko lako unalozamiria kuuandama uislam nakutoa wasiwasi kijana vatican hawana uwezo na wala hawatokua na uwezo wa kuingilia uislam ,ijapo kua wanajiaribu kubuni quran yao ili watu waikengeuke ile iliyoshushwa kwa mtume s.a.w kupitia jibril,toleo la quran na toleo la biblia ukifuatilia kiundani kwa kutaka kujua lipi hua linatiwa tiwa mikono sana na watu basi utagundua kua ni biblia but quran tuna pindi za miaka bado ipo palepale maana alieileta ameahidi kua atailinda .ukristo ni ukuta wanaojifichia freemason ili wasionekane athari yao katika jamii japo kua inajitokeza maana ndani ya ukristo ushetani umejaa kuanzia makanisani,mungu anaswaliwa kwa ala za muziki ,nafikiri laitan ingelikua hakuna vifaa vya mziki sjui mungu angeabudiwa vipi,istoshe kwa upande wa vinyago vilivyoundwa na wanadam wenyewao kanisani utaona full masanam yaliosheheni kwenye misalaba.vatican hawatotia fitna ndani ya uislam maana tunajua kua hawatokua radhi mayahudi na manasara mpaka tufuate mila zao
 
Ndio kazi ya elimu na Mitaala duniani Mkuu ndio financier wa research zote muhimu kwa ajili ya kukufanya uwe katika order.

Hata kufundishwa 2x2 = 4 ni kukuweka katika order
vyuoni ndo wameota pembe maan unazani ukiachana na yale makabrasha yanayovaliwa siku ya graduation koukweli hat wao wanayo
 
ukristo ni genge wanalojifichia freemason kwa kutekeleza agenda zao maana mpaka kufikia mkuu wa vatican papa kutokua na hofu yoyote juu ya ndoa ya jinsia moja wote wanajuana .
 
On top is satan, the devil or lucifer, he being the enforcer the power behind all these shady groups.
The question should be does satan operate in bongoland ?
 
Hayo mambo ya kafara ni mambo yao ya ndani, usipokuwa uu mmoja wao huwezi kujua. Mimi nilitaka kujiunga, nilipofika stage ya kula kiapo cha usiri ili nifanyiwe initiation, nakaogopa, sijuendelea.
P
Funguka step by step mkuu nadhani kwenye mafail na benki ya takwimu yao upo
 
hakuna koran iliyoshushwa, hii iliyopo ilibuniwa na wakatolik katika jitihada zao za kutaka ushawishi mashariki ya kati
 
KUMBUKA nyota na mwezi kwenye majengo ya waislam, yaani misikiti nazo ni sanam
Pia qoran siyo perfect kwa kuwa wakati mtume alipokuwa akidai ameshushiwa alikuwa akiwakaririsha wahuni wenzie
na wakati anataka sasa ku compile 300 kati ya hao waliokaririshwa walikuwa wameishakufa,ukamilifu wake uko wapi
nakubaliana na wewe kuhusu masanamu ya vatican, siyo sawa kuweka sanamu na kuziabudu, pia kumbuka vatican ni upagani uliojificha kwenye ukristo, kwani wanakiri kuwa hawafuati biblia bali tamaduni zao
Na sanamu kubwa kuliko sanamu zote ni jumapili, Yes! Jumapili ni sanamu ya jumamosi
Ibada ni siku ya Jumamosi ,yaani siku ya saba ya week. ila wao wakachonga sanamu yao jumapili kuwa mbadala wa jumamosi
 
we have chama tawala who controls everything
 
Tulidanganywa, mkuu...katika Ibada Kila kitu ni sanamu...Kwa kuwa hakuna ajuaye Kwa hakika asili ya uumbaji bali mfano wake...hivyo tukiombacho ni mfano na tukipatacho ni mfano na sisi pia ni mfano wake...dini zote hizi za sasa hakuna ambayo ilitokea tu...zote ni mwendelezo wa dini za zamani...ukitaka kujua ukweli fuatilia alama za hizo dini...alama ya mwezi na nyota ilishatumiwa kabla ya uislamu, Mungu wa kike Inanna au Ishtar alishakuwa na alama hii..Mungu Sin naye ashaabudiwa Kwa alama hiyo...pia Mungu mwezi Hubal au Allah na wanawe wa kike Al lat, Al Uzza na Manat (wakiwakilisha sayari Venus)...Mwezi ni rangi ya silver white siku yake jtatu na venusi rangi ya kijani siku yake ni ijumaa...na rangi kuu za misikiti ni nyeupe na kijani...ukristu nao ni dini ya Mungu Jua na siku yake ni jpili na msalaba ni alama ya Jua na umetumika hata kabla ya ukristo...Mnaambiwa msijifunze Elimu ya Nyota (unajimu)lakini hizi dini zote zimetokana na Elimu hiyo...kitabu Cha Stellar Theology & Masonic Astronomy kinaeleza vizuri...
 
yaani unakuta muislam anakomaa na sanamu za roman catholic, sasa yeye hizo nyota na mwezi ni nini kama siyo sanamu?

Kutoka 20:4-6​

Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu wanipendao, na kuzishika amri zangu.

Hii amri warumi waliiondoa kwenye catheksm yao
 
On top is satan, the devil or lucifer, he being the enforcer the power behind all these shady groups.
The question should be does satan operate in bongoland ?
The answer is yes...hizi secret societies hazikusambazwa duniani Kwa bahati mbaya ila zina kazi maalumu...Kwa mfano Tanzania, freemasonry ililetwa mwaka 1905...maana yake ni ya zamani zaidi ya Tanzania...halafu unaweza kukuta baadhi ya misingi ya kiuongozi, madaraka na itifaki za nchi zimechukuliwa kutoka humo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…