Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Shirika la Kimataifa la Wafanyakazi(ILO) limesema janga la #COVID19 limeawaathiri sana waajiriwa wenye mishahara midogo.
Kuepuka athari zaidi ILO imeshauri mishahara kurekebishwa mara kwa mara. Na vilevile kupandisha kima cha chini cha mshahara ili uendane na hali ya uchumi.
Wamesema kwa miaka kumi iliyopita ni 70% ya nchi ambazo takwimu zao wanazo ambao wamepandisha mishahara. Wamesema watu milioni 266 wanalipwa chini ya kiwango cha chini cha mshahara.
Hivyo wameshauri Kiwango cha chini cha mshahara kuwekewa sera itakuza uzalishaji.
www.ilo.org
Kuepuka athari zaidi ILO imeshauri mishahara kurekebishwa mara kwa mara. Na vilevile kupandisha kima cha chini cha mshahara ili uendane na hali ya uchumi.
Wamesema kwa miaka kumi iliyopita ni 70% ya nchi ambazo takwimu zao wanazo ambao wamepandisha mishahara. Wamesema watu milioni 266 wanalipwa chini ya kiwango cha chini cha mshahara.
Hivyo wameshauri Kiwango cha chini cha mshahara kuwekewa sera itakuza uzalishaji.
Global Wage Report 2020-21: Wages and minimum wages in the time of COVID-19
This ILO flagship report examines the evolution of real wages around the world, giving a unique picture of wage trends globally and by region. The 2020-21 edition analyses the relationship of minimum wages and inequality, as well as the wage impacts of the COVID-19 crisis.