BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Unachosema ni kweli kabisa Mkuu na ndiyo sababu huyo anayejiita mwendawazimu na makamongo yake ndani ya maccm yanahaha hata kufanya forgery ili hao COVID19 wawe Wabunge wa viti maalum ili wawazuge UN kwamba kamati za Bunge husika zinaongozwa na Wabunge wa upinzani ili Nchi isikose trillions.
Kuna pesa kibao Nchi imepata miezi michache kabla ya uchaguzi na nyingine wamekopa wanaulizwa wamezifanyia nini wanang’aa macho. Kama ulivyosema Nchi inaelekea shimoni na bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi basi tutanasa huko shimoni kwa miaka mingi ijayo.
Kuna pesa kibao Nchi imepata miezi michache kabla ya uchaguzi na nyingine wamekopa wanaulizwa wamezifanyia nini wanang’aa macho. Kama ulivyosema Nchi inaelekea shimoni na bila Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi basi tutanasa huko shimoni kwa miaka mingi ijayo.
Unajua tunazinguana nchi imeshika uelekeo wa kwenda shimoni bado tunawaaminisha wananchi kuwa tutazama kidogo then tutaibuka kumbe hizo nguvu za kuibuka hatuna na kama tunazo kwa nini tusizuie kuzama humo shimoni.