zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Habari wana JF.Addiction kwa kiswahili imenitoka kidogo.
Ila nathubutu kusema nimeathiriwa na mitandao ya kijamii yaani hata mwaka hujapita toka nimeijua JF Ila sasa imeshaniathiri yaani muda wote natamani kufungua nyuzi,kusoma comments na kuandika chochote.
Yaani situlii kila muda niko JF .Zamani nilikuwa naipenda Instagram,Youtube na Facebook Ila sasa hivi kila mara niko Jamii Forums yaani hata nikiwa niko kazini naona efficiency ya kazi inapungua sasa kwasababu ya JF.
Nimekuwa interested na MMU forums kwasababu Ina utani mwingi na Ina wacheshi wengi.
Najuta kuijua Jamii Forums ni ngumu kuiacha ni kama unapovuta madawa ya kulevya ugumu uliopo kwenye kuacha matumizi ya madawa ni sawa na ugumu ulivyo katika kuiacha JF.
Ila nitoe kongole kwa mwanzilishi wa JF imenisaidia hasa mimi ambaye sio muongeaji sana in real life kupata sehemu ya kumaliza stress kusema nayojua lakini kujifunza mambo mengi ambayo wale wasioijua JF hawayajui..
Ila nathubutu kusema nimeathiriwa na mitandao ya kijamii yaani hata mwaka hujapita toka nimeijua JF Ila sasa imeshaniathiri yaani muda wote natamani kufungua nyuzi,kusoma comments na kuandika chochote.
Yaani situlii kila muda niko JF .Zamani nilikuwa naipenda Instagram,Youtube na Facebook Ila sasa hivi kila mara niko Jamii Forums yaani hata nikiwa niko kazini naona efficiency ya kazi inapungua sasa kwasababu ya JF.
Nimekuwa interested na MMU forums kwasababu Ina utani mwingi na Ina wacheshi wengi.
Najuta kuijua Jamii Forums ni ngumu kuiacha ni kama unapovuta madawa ya kulevya ugumu uliopo kwenye kuacha matumizi ya madawa ni sawa na ugumu ulivyo katika kuiacha JF.
Ila nitoe kongole kwa mwanzilishi wa JF imenisaidia hasa mimi ambaye sio muongeaji sana in real life kupata sehemu ya kumaliza stress kusema nayojua lakini kujifunza mambo mengi ambayo wale wasioijua JF hawayajui..