covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hiyo board ndio unamaanisha bored??Seriously waungwana tupeane kampani kama umeboreka Kama mie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo board ndio unamaanisha bored??Seriously waungwana tupeane kampani kama umeboreka Kama mie
Seriously waungwana tupeane kampani kama umeboreka Kama mie
Nipe dakika tano nimuombe kaka yangu Cookie akurekebishie title. Kwa kweli uko bored kupita maelezo. Unique FlowerSawa Mzungu hapa tz umesheelewa maana yake au andika nilivyopaswa kuandika
Bila shaka kibinti Unique Flower tumetatua shida yako ya kuandika "Board" badala ya "Bored". Au unafanya kazi bodi ya mikopo?Nipe dakika tano nimuombe kaka yangu Cookie akurekebishie title. Kwa kweli uko bored kupita maelezo. Unique Flower
Wewe ni He au She?Seriously waungwana tupeane kampani kama umeboreka Kama mie
Wewe ni mnaaaI'm board hahah dada yetu kaishia darasa la pili tumsamehe bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HILI NALO MKALITIZAME
Mimi na tateWewe ni mnaaa
Ni MeeWewe ni He au She?
😂😂😂Utakuwa unahitaji dushe😁😁😁
Ninunulie best basi hiyo nzuri bossyUnatumia simu gani haina automatic correction pisi kala kama ww kuandika hvyo unashusha brand
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Dushe la mchongo🤣🤣🤣Unashika dushe huku unachat jf au ni ile ya mchongo🥵🥵
Ya chibabu unaona nimetoka online nilimpandisha mizukaDushe la mchongo🤣🤣🤣
Ndio wapi hukooBoss Mwachiluwi, hebu njoo uonane na mrembo wako Unique Flower, Kama vipi mpeleke wavuvi camp.