I'm going through hell!...should i keep going?

I'm going through hell!...should i keep going?

Nani kaibua hii kitu wakati ilishazikwa kaburini na haikufufuka?


eh? tumeishiwa eeh?

hebu....
 
I am happily in love............
I am enjoying my marriage.........
I am expecting........................

Thanks god

thread closed

Geoff nilikuwa nimeanza kuchanganyikiwa ...maana naona sredi ya mwaka jana ,sisi tushakula pilau na kuserebuka
asante sana Binamu kwa kuyaondoa haya mashaka
ubarikiwe
 
MAISHA YANASONGA!......
watu naona wameishiwa
 
MAISHA YANASONGA!......
watu naona wameishiwa

Hommie!

Msiwalaumu labda walitaka tuliodandia basi karibia linafika tujue!

Hongereni kuwa mlivuka haya majaribu na Sifa na utukufu ni wake Bwana kwani hivi sasa mnasherehekea ushindi!

I pray for you!
 
Hommie!

Msiwalaumu labda walitaka tuliodandia basi karibia linafika tujue!

Hongereni kuwa mlivuka haya majaribu na Sifa na utukufu ni wake Bwana kwani hivi sasa mnasherehekea ushindi!

I pray for you!
POA HOMMIE!
unoge?
 
Iwe ukumbusho kuwa, chochote unachoandika hapa JF kina/kitaishi milele hata kama ni personal matters.
 
Iwe ukumbusho kuwa, chochote unachoandika hapa JF kina/kitaishi milele hata kama ni personal matters.


Ama, this has been personalized....its not as personal as the person himself....lol
 
Geoff nilikuwa nimeanza kuchanganyikiwa ...maana naona sredi ya mwaka jana ,sisi tushakula pilau na kuserebuka
asante sana Binamu kwa kuyaondoa haya mashaka
ubarikiwe

Mbuzi wetu jamani.... :disapointed: mwisho Kwaresma nyingine itafika
 
Back
Top Bottom