I'm just thinking....xo xo xo

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
Mdomo ni kwa ajili ya kulia chakula,pia unasaidia kutoa na kuigiza hewa,sasa pale unapotumika kwenye maadalizi ya kuamsha hisia inakwaje?mfano kuswaki na uchimbaji madini.
Ina maana viungo husika havijitoshelezi?je kwa upande wa maswala ya kiroho(dini) hata kama mmeoana ni sawa?au ndo usodoma na gomora?
 
Mhhhh jamani itahamishiwa sasa hivi kwa wakubwa, mie nadhani kila mtu na utashi wake, kuna wengine bila hiyo hujampigia kazi bado
shantel ila ni kweli wengine bila hvo hawatosheki
 
Aisee mapenzi ya siku hizi bila hiyo kitu hainogi.mi mwenyewe napenda kuzama chumvini
 

kaka punda hafundishwi kunywa maji,
nani alikwambia kuwa hii sanaa ina formula,
we jiachie upendavyo, fanya utakalo ili mradi mridhishane,
na mfurahie wote kwa pamoja!

Usiulize tena maswali ya namna hii.
 
Hapo kwenye dini wataalamu wa dini wanahitajika kutoa ufafanuzi..
Lakini bila hiyo kwa dunia ya sasa hakuna mapenzi.
 
kaka punda hafundishwi kunywa maji,
nani alikwambia kuwa hii sanaa ina formula,
we jiachie upendavyo, fanya utakalo ili mradi mridhishane,
na mfurahie wote kwa pamoja!

Usiulize tena maswali ya namna hii.
Hata kama kutumia mtandao???:confused2::confused2:
 
Hata kama kutumia mtandao???:confused2::confused2:

yote heri tu,
unajua starehe waipatayo watu wawili,
wao peke yao ndo wanaweza kuielezea,

Tatizo tunakuwa wasiri sana kwenye hii starehe,
kumbe moyoni tunaugulia kimyakimya,
tuzungumze jamani!!!!!!!
TAFAKARI,CHUKUA HATUA
 
Kama mko ndani ya ndoa
mmmhh zamisha na kichwa ukipenda ....
maana ndio hivyo mpaka kieleweke

Jiachie mtoto wa kike,
acha kubana, utakuja kuzinduka usiku ushakuwa mnene......................
 
Ukitaka kukimbiwa usifanye hayo,vinginevyo................gaudeamus igitur(so let us rejoice)
 
Code:
Mhhhh jamani itahamishiwa sasa hivi kwa wakubwa, mie nadhani kila mtu na utashi wake, kuna wengine bila hiyo hujampigia kazi bado

It is now too late to catch the departed bus................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…