Im looking for indian lady

Im looking for indian lady

Joined
Dec 1, 2011
Posts
138
Reaction score
23
Awe anajua kishwahili na awe tayari kwa kuhalalishwa kuwa mke .Awe na shughuli yake halali ya kumuingizia kipato .serious alie tayari anijuze
 
Mmmh, si uwende ukawatafute huko Bombay. Kama wewe ni mmandingo na unataka wa hapa TZ basi sahau, watu hawa ni maracist na chances zako ni slim

Anyway good luck
 
Bombay noma kaka mpaka nimlete hapa atanigharimu kumfundisha kiswahili nataka hawa wanao kijua kiswahili
 
nenda kaombe kazi ya kuchambisha watoto kwenye majumba yao then unaweza kupata access ya kuonana nao na kujiopolea mjane mmoja...
 
nitaPM nikuunganishie,ila usiniangushie uwe unafahamu english
 
Neelam yuko wapi?
In the mean time hutaki mpakistan au mbangladesh?
 
Unahitaji wake wangapi? Nenda Mumbai, utawaokota wengi tu..:coffee:

bp22.jpg...bp24.jpg...bp26.jpg
 
uwe tayari kuwafanya wanao mandondocha ili muwe matajiri anza mazoezi ya kula pilipili kumi kila wakati wa mlo uwe tayari kwenda sokoni na kutumwatumwa chawa wa kihindi unawajuwa?!
 
Mie nina mahindi ya kike, nikuletee???
Yamechanua vizuri kweli, ni pale kibaigwa tu
 
Lol u nyie jamaa mnanifurahisha sana na comments zenu :lol::lol:
 
Huu uzi ni noumar dah hahahaha , nilikuwa na stress kibao lakini zimekaribia kuisha.
 
Back
Top Bottom