blaza kumbuka mwanamke hatongozi,anatongozwa.
hapo kwenye kutongozwa,afanye upembuzi,ndipo akubali,kisha aingie.
kunakuwa na mambo mengi.mwisho ndio hii unakuta umetongozwa na wanaume 19 mtaani,7 waume za watu,9 watoto wadogo(utoto),watatu kati yao wanafanana vigezo,ila wawili malaya,mmoja mlevi.
unaona bora ukaushe tu,uje jf kwa GT labda ukakutana na mtu ambaye kichwa kimetulia.jf ni kubwa sana mkuu hawajakosea hata kidogo kuja huku,kwanza unakuwa huru kujieleza,mtaani huwezi hii.
Sent using
Jamii Forums mobile app