Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Hapana kwakweli.. maana english sio lugha ya taifa, japo ni lugha maalumu ya serikali 🥸🥸Is it necessary to speak English in here?
keep going 😜😅
Sema hata ukiandika broken kama Lugumi, sio lugha yetu 😅😅😅Ila kiingereza😂
No problem kabisa😉 😅😅😅Humu Kila mtu anashuka English 😅😅😅 hatari tupu
Halafu sio English plain 😅Zingatia ni Native English.Humu Kila mtu anashuka English 😅😅😅 hatari tupu
Haya wasomi 😅No problem kabisa😉 😅😅😅
Basi hata najua hizo native na plain basii.. 🥸🥸🥸 mambo mageni hayoHalafu sio English plain 😅Zingatia ni Native English.
Nilijua mimi tu ndo wa za kata kumbe na ww unakiweza😁keep going 😜😅
😅Haya wasomi 😅
Ohoooo Kim Jong un 😅😅😅 why not 😅😅😅 vitu vidogo tu hiviNilijua mimi tu ndo wa za kata kumbe na ww unakiweza😁
Nilishajaribu sema nikaimprove kidogo sana.Kunywa vodka kidogo unakuwa fluent hatari
Nshaamua kukikataa hadi nikaishi izo nchi zao.Achana nacho🤣🤣
Anataka chimbo wanakouza ama kutengeneza tishu za chooni pamoja yebo yebo Kama unao ramani ama mzigo piga hela nduguNisaidieni kutafasiri. Eti anaitaji chimbo la bidhaa gani kwa hapa Dar?
Icho ni grammar ya kiswahili ama sarufi unaandika kwa lugha ya English Ila sio kuwa ni English iyo Bali ni kiswahili chenye maandishi ya EnglishNi mimi peke yangu wakuu au na nyie?
Nikisoma au nikiongeleshwa kiingereza akilini nasikia kiswahili
mfano, that car is very expensive akili inasikia: hio gari ni ghali sana
Kumbe kile cha Lugumi ni broken? Eeeh mai lodi ai wandaaSema hata ukiandika broken kama Lugumi, sio lugha yetu 😅😅😅
I am here English speaker.only one handred thousand per thirty minutes of leaning.Hello JF, I'm looking for someone in dar es Salam who is a Native english Speaker,
The purpose of looking for that person is learning
Anyone interested please check me
Aaah huko Dar kuna mambo mengi sana, atusimulie tu alichokiona🤣Nimecheka ghafla.
Una nini lakini,😁