Dali Mpofu
Senior Member
- May 9, 2021
- 173
- 328
Hichi kingereza nimekutana nacho kwenye ofisi ya msomi mmoja, akimkaripia muajiriwa wake na vikingereza vya kuungaunga. I'm not your friend my friend,wasomi wa Tanzania buana!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah, tutafika tumechoka sanaHichi kingereza nimekutana nacho kwenye ofisi ya msomi mmoja, akimkaripia muajiriwa wake ni vikingereza vya kuungaunga. I'm not your friend my friend,wasomi wa Tanzania buana!!
Hii nimenunua mzeee, cjawai kuzibahatishaWale mnaotoa vocha za Bure nawaomba mpunguze thread za hovyo zimekuwa nyingi
Mmh mtego huuHivi ilitakiwa asemeje💔😂..?
Shida iko wapi, hiyo friend ya pili imetumika ikimaanisha "wewe" kwa mtu aliyekasirika na haimaanishi urafiki wa uhusiano, hata kwenye kiswahili tunatumia neno "ndugu"! Je, unayemuita ndugu ni ndugu yako? Hapana, je, tunaungaunga? Hapana, nikikuita bro au sister haimaanishi uhusiano wa kifamilia.Hichi kingereza nimekutana nacho kwenye ofisi ya msomi mmoja, akimkaripia muajiriwa wake na vikingereza vya kuungaunga. I'm not your friend my friend,wasomi wa Tanzania buana!!
Ukimaanisha wewe sio ndugu yangu ni sahihi kusema "mimi sio ndugu yako ndugu yangu"?Shida iko wapi, hiyo friend ya pili imetumika ikimaanisha "wewe" kwa mtu aliyekasirika na haimaanishi urafiki wa uhusiano, hata kwenye kiswahili tunatumia neno "ndugu"! Je, unayemuita ndugu ni ndugu yako? Hapana, je, tunaungaunga? Hapana, nikikuita bro au sister haimaanishi uhusiano wa kifamilia.
Hauko sahihi, hawa hawakuwahi kuwa marafiki, labda tu kama waliwahi kuwa marafiki.Am not your friend anymore...
Naona unarudia nilichosema, soma vizuri na uelewe nia ya hilo neno. Hao ndugu tunaowaita hawajawahi kuwa ndugu zetu, kwa kifupi alikuwa sahihi.Ukimaanisha wewe sio ndugu yangu ni sahihi kusema "mimi sio ndugu yako ndugu yangu"?
Labda tuseme ni sentence tataHiyo sentence haina makosa yoyote katika grammar
"I'm not your friend my friend"
Labda ni sentence tata imbayo inaweza kutafsirika Kama sarcastically.
So huyo msomi yupo sahihi
Labda tuseme ni sentence tata
Am not your friend moth**fu**er!Hivi ilitakiwa asemeje💔😂..?
Nwei kajitahidi
Wale? Kwani kuna wengine zaidi ya Bantu Lady?Wale mnaotoa vocha za Bure nawaomba mpunguze thread za hovyo zimekuwa nyingi
We hapo ungesemaje?Wasomi wa Tanzania wanasemaga "i saw your missed call"