Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Keshasema boy, Hana kaziUna kazi gan?
HeheKeshasema boy, Hana kazi
Aisee wewe kaka VP..Sijui Galapagosi..nimepitia post zako nyingi unaulizia sana Wanaume wenzio kama wameshapata Wakikosa una malengo gani nao???Umefikia wapi mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mbona kama umepanic.Aisee wewe kaka VP..Sijui Galapagosi..nimepitia post zako nyingi unaulizia sana Wanaume wenzio kama wameshapata Wakikosa una malengo gani nao???
Haaa haaaaa haaaaa wengine Tayari tulipataga Tupo tunaenjoy[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mbona kama umepanic.
Tupate nasi maujuzi nasi tuanze kutafuta humu jf.
Maana maneno mengi yamesambaa ya kuwa jf huwezi kupata mchumba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umenifurahisha sana
Kumbe mnasoma hizo thread hafu mnapita kavu(kimya kimya)
Maana naona wanaanzisha uzi hafu kimya.Haaa haaaaa haaaaa wengine Tayari tulipataga Tupo tunaenjoy
ha!!! ha!!! ha!!! ha!!! ha!!!Aisee wewe kaka VP..Sijui Galapagosi..nimepitia post zako nyingi unaulizia sana Wanaume wenzio kama wameshapata Wakikosa una malengo gani nao???
Umenionaje??
Umenionaje??
Jana alijitetea Eti Lengo lake Ni kutaka feedback Ili Na yeye atume Maombi.Ila Sio kwa style hii.Ebu fuatilia Uone.Amevunja rekodi.ha!!! ha!!! ha!!! ha!!! ha!!!