Im still hurting

Im still hurting

Ingiza mali sokoni, katika kuchovya chovya yupo mmoja utamuelewa tena. After all a way to anyone's heart is through they genitals.

Ila unazingua na wewe, unajidai u r still hurting, maumivu unayajua wewe? Ushawahi umwa jino usiku wa manane wewe, ushawahi jigonga ugoko na kona ya kitanda??
Unaenjoy attention hapa ya kuliwazwa huna lolote.

Halafu kwa ujinga wa JF ukute ni lidume lyenzetu tunalipa moyo. Saa hizi na likitambi lako unakula chapati na maharage unachora watu tu.
Nimepoteza imani na ukike wako kwa kweli.
 
Back
Top Bottom