Im still hurting

Im still hurting

Yaani sisi wengine hatujawahi, hatujui, hatuwazi, na hatutaki kubembelezaa mtu mzimaaa thus why mtongozo wangu ni mara Moja ukikubali poa ukikata ni kama king'amuzi sirudiii nyuma wala nn napita hivi na ukijileta utaenda simuliaa adi kitukuuu chako.... 😂😂😂😁
Hii ilishawahi kunikosesha bwana WA maana kabisa🤣🤣
Mpaka nilijuta
Nilitaka nionekane mm sio mrahisi kumbe nimejiharibia
Baada y miezi miwili nilishtukiwa naungwa kwenye group la mchango WA ndoa....😂😂
Dah...
Sometimes tukisemaga hapana sio kama tunamaanisha ...mliangalie hili🤣🤣
 
Gentlemen,
There's a broken heart that needs to be mended.
Vijana wa jf mnafeli wapi kwani, hamuwezi kuruhusu hii roho izidi kuumia kwa kuwa tu kuna mjumbe mwenzetu kazingua.
 
Ndo shida ya kuwa na expectation juu ya mwanadamu. expectation is the root of many heart attacks. Avoid becoming emotionally attached to anything, even your kids, because if they disappoint you, it could break your heart.
Ni kweli mkuu unaweza kujikuta pabaya sana ukiendekeza hisia
 
I'm still hurting I can't do anything, my heart is hurting so much this was the man I love so much I never betrayed him but he behaved I wish I had the ability to reach him and tell him that I still love him
Yamekukuta!
 
Hii ilishawahi kunikosesha bwana WA maana kabisa🤣🤣
Mpaka nilijuta
Nilitaka nionekane mm sio mrahisi kumbe nimejiharibia
Baada y miezi miwili nilishtukiwa naungwa kwenye group la mchango WA ndoa....😂😂
Dah...
Sometimes tukisemaga hapana sio kama tunamaanisha ...mliangalie hili🤣🤣
Kuna mdada mmoja hivi nilimuapproach mwezi wa sita akawa kama dilemma hivi kuja kumuuliza inakuaje ombi langu anasema lipi? Nikamkumbusha eti anasema ana mpenzi wake nikamwambia okee okeee eti kaja kunitumia text nimekumiss sanaaa nkamwambia "unaacha kummiss mpenzi wako huko unanimiss mm wa nn sasa basi pita kule"😂😂😂😂😂😂 🏃 🏃
 
Back
Top Bottom