I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

Misunderstanding yenu ilihusu nini, kuna issue 3 hapo, one of them is true, may be hutaki kuacknowledge tofauti yenu iliyojitokeza, au yeye ni wale watu ugomvi kidogo ananuna hadi mwaka, or hakupendi. Kama Misunderstanding ni kubwa address it accordingly, kama ni wale wa kununa cheki kama atakufaa in the long run, kama hakupendi baba sepa, mapenzi hayalazimishwi, if she doesn't love you, she won't. Halafu what is your plan kwake, kama unaona ni wife material basi don't ignore fact yoyote kati ya hizo tatu hapo juu, they mean life or death.
 
Pole sana mkuu

Jitahidi kunywa maji

Nawa mikono kwa maji tiririka

Jiepushe na mikusanyiko isiyo na Lazima

Pia usisahau kuvaa baraka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yaani wewe ni kichaa ujue
 
Maybe bila yeye am just another lonely soul[emoji17]

I wonder au Niko na pretend kutotuma message mpaka aanze yeye and yet am dying inside.

I think I'm acting tough for something I shouldn't,

Iko hivi I met this beautiful girl, she is at her late 20's , yeah kipindi tunanza kila kitu ilikua ako sawa sometimes message mpk usiku wa manane twachati, sms call zilikua always.

All of the sudden akaanza kua busy , message zangu akaanza zipuuza and sometimes akanza jibu kwa kuchelewa

Since morning mpaka right now no even a good morning text? ( This should tell me something isn't it?)

Wonderfully enough she is always busy Kwa cm yani , always talking kwa cm and I pretend like it's normal but deep down inside of me najua hi kitu haiko sawa.

Recently tumekua na misunderstanding and since then she ignores me, what I pretend it's like I'm not being ignored [emoji17]

She doesn't know much about my financial capability and I know she cheats she chats but not with me, on the other side she needs me

I'm tangled should I walk away?

Hakika nimeamini waweza kuwa around someone you truly love and yet feel so lonely [emoji3064]
I think there is a time coming all these will be your past experience.

You and I drank the poison from the same vine...[emoji444][emoji445][emoji443][emoji344]
 
DON'T ACTS LIKE A FOOL.AND STOP SIMPING(NICE GUY ATTITUDE) UYO MANZI KASHAKUONA WEWE MZAIFU YAAN ULIVYOANDIKA NI KAMA VILE ULIKUWA UNALIA ACHA UTOTO MKUU BE BUSY AND STOP CHASING WOMAN DON'T LIKE GUY WHO CHASE THEM (BECOZ IT SHOWS SOME INSECURITY INSIDE YOU)
 
tui laminate hii comment, tuweke kwenye notice board au kwenye yale mabango ya mtangazo kila mji, kila mkoa, kila kijiji na tuyaweke kwa herufi kubwa tukiyabold hata asioona mbali aone, hutoi hela unalia lia kizungu subiri uone picha linavyokwenda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji1635]
 
Back
Top Bottom