Nimekaona, na maua yangu mnipeMpatanishi pokea zako shukrani hapo juu umeandikiwa ka uzi ndani ya uzi
Una umri gani?
Labda asiwe na damu ya kiafrika ile mambo kwao ni km uhaiππππ
Bw. harusi ye hana baya mbona, as long as anajibiwa msg za kinglesaa chiu kwake sio kipaombele
πππsasa udugu wetu kawa zoba plusMapenzi haya mbinu, zaidi ya mmoja wapo kuwa zoba... ndio yataenda
Achana nae nije kuikandaaa miguuu hiyooo π¬π¬π¬
Nafasi ya mbele nyuma ya dereva, niko dirishani ntakua nakuita aiseeeππUnaona kinglesa tena cha kubold hapo juu, jamaa hapindui kwa demu atateseka sana wafariji tupo
That's the real talk right there, I've busiest schedule buddy nmekua afraid kumpoteza because I'll not even have a time to look for another.Unavyoandika tu unaonekana uko needy ata kwa mtu asiyekufahamu. If you'll come out needy ata kama una good intentions women will ignore you. Wewe hauko busy? Stop making a woman a focus of your life. Get busy. Meet new people.
I'm waiting for itπ₯ππππ
Nlikua nshaandaa good night paragraph ni kulishusha tuu
πππππ Navuta kiti nasubiri huku napata πΉπΉπππsasa udugu wetu kawa zoba plus
Akipewa chiu si tutampoteza jins atakavyojaza serversπππ
Tulia bas tumalizie swala moja
Yakiharibika atuite tu, tumejitolea kumfariji kijana wetuNafasi ya mbele nyuma ya dereva, niko dirishani ntakua nakuita aiseeeππ
I like my Tanzanian people πMwamba FlyingDutchman kashajinyakulia zake chombo mitaa hii, kilichobaki ni kumalizia malizia thread sasa π
Weka na cocktail yangu moja hapo nakujaπππππ Navuta kiti nasubiri huku napata πΉπΉ
Nasubiri hapa ipo pamoja na ππWeka na cocktail yangu moja hapo nakuja
We andika kiswahili chetu tuππ hata mi sielewi babe wapo cool sasa paragraph yako ya nini tena?Kapeace
Mbona Bw. Harusi simuelewiπππ
Si wameshayaeka sawa
Na bado anataka paragraph
Is me is not understanding of course, is you understanding?
Nsamehe ndugu yanguπππnlkua najaribu mitamboWe andika kiswahili chetu tuππ hata mi sielewi babe wapo cool sasa paragraph yako ya nini tena?
Itunze tu hiyo paragraph itatufaa kwa badae sababu wifi atarudia tu ubabe wakeNsamehe ndugu yanguπππnlkua najaribu mitambo
Bw Harusi anataka good night paragraph
Si tulkubaliana ntatuma kama wifi akiendelea na ubabeππππ
ππππItunze tu hiyo paragraph itatufaa kwa badae sababu wifi atarudia tu ubabe wake