Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
mimi yalinishinda nikaamua kukaa pembeni alivyorudi nikamfungia vioo mpaka keshoUkifikia hatua hiyo unahitaji macho ya rohoni kuitambua kweli na Mungu hachelewi kukujibu.
Ni wewe kuona na kuamua kuchagua kudanganywa au kuendelea na maisha mengine.
mimi yalinishinda nikaamua kukaa pembeni alivyorudi nikamfungia vioo mpaka kesho
Tuliza kichaa, usije sema nakutongoza😂😂🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787] niwacheeeee
Tuliza kichaa, usije sema nakutongoza[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
nilimfungulia dunia akakutana na wana wa israel hawajui kubembeleza akapigwa matukio mpaka akaona ajirudishe, akakuta mwamba nipo ndani ya dunia nyingine.Hayo ndio maamuzi sahihi, ya nini malumbano? Muache aende kuna maisha mengine lazima yaendelee huwezi kuforce kumpenda asiyekupenda.
Huyo alichotarajia huko na alichokikuta tofauti ndiomana kajirudisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Punguza jam😂🤣🤣, mbavu zinaumaa😂🤣🤣Kwan ukinitongoza kuna shida gani? Huna kifanyio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nilimfungulia dunia akakutana na wana wa israel hawajui kubembeleza akapigwa matukio mpaka akaona ajirudishe, akakuta mwamba nipo ndani ya dunia nyingine.
Punguza jam[emoji23][emoji1787][emoji1787], mbavu zinaumaa[emoji23][emoji1787][emoji1787]
ni msoto mkali ila ndio hivyo bado watu wengi hupenda kukipa thamani kitu baada ya kukipoteza.Ni tamaa na ujuaji vinawaponza wengi, wanahisi uko kutakua kuna asali na maziwa…..kumbe hakuna lolote ni njaa na tabu
Apunguze uzungu madem wa bongo wana code zao ukileta uzungu sana wanakuona mtalii😂😂 mwisho wa siku unawehuka bure😇Kwa hiyo unashauri afike British council 😥?
🤣🤣🤣🤣Eti mtalii.....ila Uzungu kama hivyo mie mwenyewe ningemletea kwaya huyuApunguze uzungu madem wa bongo wana code zao ukileta uzungu sana wanakuona mtalii😂😂 mwisho wa siku unawehuka bure😇
Half american Copy that🤣🤣🤣Mission aborted..All unit's back to the station for emergency meetingLovie Lady
man down we need a rescue team.
👁️feedback bro feedback,
unaiwekea vizuri😂 unatuwakilisha??😂
you are missed
Missed you more😫😫😫you are missed
Nadhani akiona hizi replies atajirekebisha🤣🤣🤣🤣Eti mtalii.....ila Uzungu kama hivyo mie mwenyewe ningemletea kwaya huyu
We are on same boat jombaa ila yangu mimi kaniambia ana jamaa ake so nilikuwa ndani ya mahusiano ya mtu 😀 so mimi nilikuwa spare tyre akikosana na jamaa ake me ndo mfariji yakiisha wanarudiana so chatting nini inakuwa. Amnaa tena mpaka akutafute yeyeMaybe bila yeye am just another lonely soul😔
I wonder au Niko na pretend kutotuma message mpaka aanze yeye and yet am dying inside.
I think I'm acting tough for something I shouldn't,
Iko hivi I met this beautiful girl, she is at her late 20's , yeah kipindi tunanza kila kitu ilikua ako sawa sometimes message mpk usiku wa manane twachati, sms call zilikua always.
All of the sudden akaanza kua busy , message zangu akaanza zipuuza and sometimes akanza jibu kwa kuchelewa
Since morning mpaka right now no even a good morning text? ( This should tell me something isn't it?)
Wonderfully enough she is always busy Kwa cm yani , always talking kwa cm and I pretend like it's normal but deep down inside of me najua hi kitu haiko sawa.
Recently tumekua na misunderstanding and since then she ignores me, what I pretend it's like I'm not being ignored 😔
She doesn't know much about my financial capability and I know she cheats she chats but not with me, on the other side she needs me
I'm tangled should I walk away?
Hakika nimeamini waweza kuwa around someone you truly love and yet feel so lonely 🥺