I'm still waiting for her message ๐Ÿ˜”

I think mpaka tukifikia that stage she doesn't worth it anymore ,I'll let her go for good.
 
Therapist wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sio kwa haya madini unayomwaga hapa
yalishanikuta ndio maana nna madini mengi kwa niliyoya experience ๐Ÿ˜…
Aliyoyaeleza hapo na kinachoendelea kwangu kwa sasa inabidi tu nimpe pole maana kuna mtoto wa mtu nimemteka na anadai anae mpenz(namhurumia huyo mwamba maana 85% ya muda anaspend kwangu). Tusipokuwa pamoja simu zinaita sana ubusy mwingi. Rahaaaaaaaaa ๐Ÿฅฐ
 
You sound childish, right from your writing style... Mtu wa late 20's hawezi risk ku-date na mtoto, mwenzio anatafuta ndoa siyo mitoko...
Kama hutaelewa na hii basi hutaelewa kabisa..
 
Khaaaaaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kumbe wewe na jamaa wote mko kwenye meli moja. We jiweke hapo ila usishangae umekaa huna hili wala like unashangaa binti kapost status ameolewa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†.
Jimwage mwage mwaya, tomorrow isnโ€™t promised.
 
Khaaaaaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kumbe wewe na jamaa wote mko kwenye meli moja. We jiweke hapo ila usishangae umekaa huna hili wala like unashangaa binti kapost status ameolewa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†.
Jimwage mwage mwaya, tomorrow isnโ€™t promised.
mi siwazi nakaa kwa password akizingua naendelea na maisha yangu.
 
Uko mwenyewe kwenye hilo penzi sasa na hiki kingereza ndo kabisa unajibebisha nacho peke yako๐Ÿ˜‚ mpuuzie tu hakustahili, hana nidhamu na wewe,
๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kudate na watu kama hawa raha kweli, ukiamka unakuta zile message za youโ€™re my happiness sijui nini nini huko, message aya sita afu ndio good morning my love๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ