mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
dunia inazunguka mzee.....kuna mtoto wa mtu nimemteka na anadai anae mpenz(namhurumia huyo mwamba maana 85% ya muda anaspend kwangu).
furahia zamu yako😂 yajayo yanafurahisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dunia inazunguka mzee.....kuna mtoto wa mtu nimemteka na anadai anae mpenz(namhurumia huyo mwamba maana 85% ya muda anaspend kwangu).
mhaya kapenda 🤣Uko mwenyewe kwenye hilo penzi sasa na hiki kingereza ndo kabisa unajibebisha nacho peke yako😂 mpuuzie tu hakustahili, hana nidhamu na wewe,
LDR.😑Don't know how to approach her physical?
hayo yalishanikuta kwahiyo yakirudi hayanidhurudunia inazunguka mzee.....
furahia zamu yako😂 yajayo yanafurahisha
Wanakuwaga na mapenzi ya kitamthilia hawa ukimsimulia tatizo lako analia kama kafiwa😂😂😂 tena analia kwa kinglesa,,😆😆😆
Kudate na watu kama hawa raha kweli, ukiamka unakuta zile message za you’re my happiness sijui nini nini huko, message aya sita afu ndio good morning my love😂😂😂😂
Muache kakaangu 😂😂mhaya kapenda 🤣
Nieleweni wanaume.Maybe bila yeye am just another lonely soul[emoji17]
I wonder au Niko na pretend kutotuma message mpaka aanze yeye and yet am dying inside.
I think I'm acting tough for something I shouldn't,
Iko hivi I met this beautiful girl, she is at her late 20's , yeah kipindi tunanza kila kitu ilikua ako sawa sometimes message mpk usiku wa manane twachati, sms call zilikua always.
All of the sudden akaanza kua busy , message zangu akaanza zipuuza and sometimes akanza jibu kwa kuchelewa
Since morning mpaka right now no even a good morning text? ( This should tell me something isn't it?)
Wonderfully enough she is always busy Kwa cm yani , always talking kwa cm and I pretend like it's normal but deep down inside of me najua hi kitu haiko sawa.
Recently tumekua na misunderstanding and since then she ignores me, what I pretend it's like I'm not being ignored [emoji17]
She doesn't know much about my financial capability and I know she cheats she chats but not with me, on the other side she needs me
I'm tangled should I walk away?
Hakika nimeamini waweza kuwa around someone you truly love and yet feel so lonely [emoji3064]
🤣🤣 kaka yako bado ni Mr nice na haya mambo hayahitaji hayo.Muache kakaangu 😂😂
[emoji1787][emoji1787] seems una- experiences za ku'date na watoto wa bus za njano![emoji38][emoji38][emoji38]
Kudate na watu kama hawa raha kweli, ukiamka unakuta zile message za you’re my happiness sijui nini nini huko, message aya sita afu ndio good morning my love[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unajifanya mgumu sio😂hayo yalishanikuta kwahiyo yakirudi hayanidhuru
Hapa[emoji871][emoji871]Kimbia upesi
omba yasikukute maana akili inataka ila moyo hautaki, hiyo vita yake acha kabisa.Nilichogundua asilimia kubwa wana comment kuhusu ku move on though na wao walishapitia hali kama hii na kuna wengine wanapitia hali kama hii pia ila wanajifanya kauzu😂. Ku move on ni kitu kigumu sana, ila jitahidi utoke. Pole sana.
You are right buddy, she has a bridegroom right next to her it's just that she doesn't sees it as I do,sad😥You sound childish, right from your writing style... Mtu wa late 20's hawezi risk ku-date na mtoto, mwenzio anatafuta ndoa siyo mitoko...
Kama hutaelewa na hii basi hutaelewa kabisa..
Ujasiria mili sio?Mpe hela, mapenzi ya kihindi sisi Waswahili hatuyawezi.
Naelewa kabisaomba yasikukute maana akili inataka ila moyo hautaki, hiyo vita yake acha kabisa.
😂😂Itakuwa wewe ndo unafanya asisalimiwe,, zamu yako yaja🤣🤣 kaka yako bado ni Mr nice na haya mambo hayahitaji hayo.
sio mgumu ila kwenye mapenzi kadri unavyozidi kumuonesha upendo ambae anakuignore ndio unazidi kumfukuzia mbali.unajifanya mgumu sio😂
mshamba nimekaa pale👉🏾
Mapenzi hayajawahi kueleweka always🚮unajifanya mgumu sio😂
mshamba nimekaa pale👉🏾