I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

[emoji38][emoji38][emoji38]
Unakuta kampenda mtoto wa Temeke mbona ataandika kinglesa mpaka akome.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiingereza atakiandika sana
Hawa watoto wa mabus ya njano hawana exposure na mambo ya uswahilini

Ngoja apasuliwe kichwa kwa stress na huyo kivuruge[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiingereza atakiandika sana
Hawa watoto wa mabus ya njano hawana exposure na mambo ya uswahilini

Ngoja apasuliwe kichwa kwa stress na huyo kivuruge[emoji1787]
😆😆😆😆
Hapo unakuta mhuni anamtext oyaaa shuka getto hapa, mdada wa watu huyooo ashaenda😂muda wa kusoma message za kinglesa atatoa wapi
 
Back
Top Bottom