Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Moyo huwa unasahau maumivu yote 😢tatizo moyo na wengi tunajifunza kwa majuto na maumivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo huwa unasahau maumivu yote 😢tatizo moyo na wengi tunajifunza kwa majuto na maumivu
Tunakomaa humo humo tutatizo moyo na wengi tunajifunza kwa majuto na maumivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
Unakuta kampenda mtoto wa Temeke mbona ataandika kinglesa mpaka akome.
chai hii imenipalia😂sex sio kipaumbele
Mie nimemsalimia ya asbh we mchana akijitokeza wa jioni walau tunamtoa kwenye mawazo mabaya, tubarikiwe sanaGood afternoon, FlyingDutchman si asubuh hujasalimiwa.
Ukiwa kwenye mahusiano utafanya, lakini kama huna mahusiano huwezi kufikiria sex wewe unataka nianze kuwa kama Dronedrake?😂🚮chai hii imenipalia😂
kwahiyo msiponanilii mahusiano hayatovunjika??
😆😆😆Mwanaume wa kulia mie hapana simtaki anionee huruma ila sio kutoa machozi yale mengi tena mbele yangu namshusha vyeo vyote
Me zamu yangu usikuMie nimemsalimia ya asbh we mchana akijitokeza wa jioni walau tunamtoa kwenye mawazo mabaya, tubarikiwe sana
Naomba nishushwe kituo kinachofuata🤣Wengine kama sisi, sex sio kipaumbele
Atakuwa anatusoma😆😆😆
Wacha waje kumfundisha bro codes apate madini kdogo kitaa kisimsumbue
Aaah imeisha hiyo,, 😍 salamu sio kitu cha kumtesa hivi kijana wetuMe zamu yangu usiku
Hapa naandaa paragraph ndefu
Hatuwez ruhusu kijana wetu ateseke
Huenda na yeye ni kijana mdogo, ila 30+ ina ahueni sana...Tatizo mnapenda vitoto (below 30)
🤣🤣wangu ndio huyo afanye kutafuta wake.Embu tafuta wa kwako bana😒
We hujihisi vibaya unavyovunja bro codes
tunarudi pale pale.....Ukiwa kwenye mahusiano utafanya
😆😆😆😆[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kiingereza atakiandika sana
Hawa watoto wa mabus ya njano hawana exposure na mambo ya uswahilini
Ngoja apasuliwe kichwa kwa stress na huyo kivuruge[emoji1787]
hakuna namna ndio maisha ya mapenzi yalivyoTunakomaa humo humo tu