I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

Vingereza viingi unataka wa darasa la5-B tushindwe kuchangia mada?

Ndiomaana unateswa wewe unaonekana uko siriaz sana kwenye hayo mapenz wakat huo mpenzi wako hana time nawewe ama kazichoka hizo swaga zako za kimarekan na english mbovu[emoji23].

We jaribu kuishi kihuni tu alafu achana na huyo mswahili katafute mzungu mwenzio mtaendana, ama ukitaka ukomae na hawa waswahili wakina mwajuma nchokonoe, badiri hiyo mindset yako ya uzungu na brah brah za akina kanye-west la sivyo utateseka sana mpka ukawasimulie wajomba zako.
 
Back
Top Bottom