I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akiacha kujitumisha vi msg vya kujiliza na kusimama kiume atasikilizwa, sasa yeye nafasi ya sisi ke kudeka yeye ndio anadeka?!!! Hapo anajichosha kwanza abadilike
Eti nafasi ya ke kudeka, ye ndo ana deka🤣😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Akiacha kujitumisha vi msg vya kujiliza na kusimama kiume atasikilizwa, sasa yeye nafasi ya sisi ke kudeka yeye ndio anadeka?!!! Hapo anajichosha kwanza abadilike
naelewa ukiwa kilizi mwanamke anakuona weak sana na atakugonga matukio mpaka unyooke
 
Huwa tunawaona mnachukua nafasi zetu za kujiliza, tuaamua kuvaa kombati ili tuwapeleke kijeshi mikono juu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hii moment nilinyooka unatuma sms 10 haijibiwi hata moja, kupenda kubaya sana
 
hii moment nilinyooka unatuma sms 10 haijibiwi hata moja, kupenda kubaya sana

Ukifikia hatua hiyo unahitaji macho ya rohoni kuitambua kweli na Mungu hachelewi kukujibu.

Ni wewe kuona na kuamua kuchagua kudanganywa au kuendelea na maisha mengine.
 
Back
Top Bottom