I'm still waiting for her message 😔

I'm still waiting for her message 😔

Mnaendekeza sana wanawake wanangu we have a lot of things to do mimi kuna demu mmoja alikuwa pisi kali hatari kila siku tunaongea normal call na videos calls akapotea hewani kama week bila sababu za msingi anarudi hewani ananiambia reason za kijinga sana nikampotezea mazima mpaka leo licha ya kuomba msamaha mwisho alisema naringa
Dear men we have a lot of things to do than fighting for love.
 
Ondoka tu mzee, hayapogo namna hiyo! Au unataka kuanzisha aina mpya ya mapenzi?
Mnaendekeza sana wanawake wanangu we have a lot of things to do mimi kuna demu mmoja alikuwa pisi kali hatari kila siku tunaongea normal call na videos calls akapotea hewani kama week bila sababu za msingi anarudi hewani ananiambia reason za kijinga sana nikampotezea mazima mpaka leo licha ya kuomba msamaha mwisho alisema naringa
Dear men we have a lot of things to do than fighting for love.
I came late to this messages, but pals you were right all along.
 
Jamaa anavyoonekana, yeye na mapenzi ni pete na kidole. Enzi zile watu tunahaso kujua ni kwanini x = -b ± (4ac - b² / 2b )½, jamaa lilikuwa busy kunjunjana. Yaani yale mashairi ya Adyeri kayakopi yote, hata uwasilishaji ni ule ule. Mola atuondolee balaa hili kabla ya uchaguzi mkuu 2025
 
Jamaa anavyoonekana, yeye na mapenzi ni pete na kidole. Enzi zile watu tunahaso kujua ni kwanini x = -b ± (4ac - b² / 2b )½, jamaa lilikuwa busy kunjunjana. Yaani yale mashairi ya Adyeri kayakopi yote, hata uwasilishaji ni ule ule. Mola atuondolee balaa hili kabla ya uchaguzi mkuu 2025
Chief mimi nilikua mkomaaji kweli kweli espesheli kwenye sayansi(physics mostly)
 
Jamaa anavyoonekana, yeye na mapenzi ni pete na kidole. Enzi zile watu tunahaso kujua ni kwanini x = -b ± (4ac - b² / 2b )½, jamaa lilikuwa busy kunjunjana. Yaani yale mashairi ya Adyeri kayakopi yote, hata uwasilishaji ni ule ule. Mola atuondolee balaa hili kabla ya uchaguzi mkuu 2025
Actually it's x=-b±(b^2-4ac)^2/2a 😅
 
Send her money uone kama hajachangamka.
Alaf you will see yeye Ndio atakua Ana initiate conversation
I guess it wasn't money at all, she had my bank card and all, nilikuja kujua badae sana kua alikua na mtu na walikua kwa relationship for almost 7 years 😅
So pesa zangu alikua anakula na jamaa yake 😂😂😂 dah I was stupid.
 
Back
Top Bottom