I'm very hurt today, but I have no way.

Unawanunua vipi na wapi mkuu?

Na unawezaje kuwa trust?
Trust ni kuwa kwenye Community kupokea Feedback na kujua kama mtu ni muaminifu.

Kampuni kubwa zinatuma tu mizigo ila individual wadogo unaweza kuwatumia Task kama hizo.

Kuna Subreddit ya r/internationalshoppers unaweza ku request kitu kama Hicho. Pitia nyuzi kadhaa.
 
This really looks like a scam.
 
Mkuu haya si ndo mambo yako, naona wanataka aliyeko Time Zone ya GMT+3
 
View attachment 2148942
Jana nikakutana na hili liscammer nakaamua lizinagua....
Bado sijaelewa huo u scam uko wapi????????????
Umeambiwa utume screenshot ya project uliyochagua kuifanyia kazi...au hebe elezea ili wengine tuelewe uscam uko wapi??????

Halafu naona kommenti nyingi za huyo scam huyu scam, umeombwa hela au umefanyishwa kazi bila malipo?????????

Mbona wabongo mmechoka hivi??? ndio maana kazi ya ukweli inakupita hivi hivi, au lugha ni ngumu huielewi?????

Halafu wengi ni mipwengwe inapita tu ku comment upuuzi hata halijui dhana ya aliyeanzisha mada wala kazi inayoongelwa......mijinga kabisa
 
Kama nilivyomwambia mwenyewe, niko kwenye hili game miaka mingi kiasi kwamba ninaweza kumjua scammer kwa kusoma post yake tu na msg. Nshakutana na watu wenye same formula kama yeye wengi tu.
Hukuona post yake hivyo acha kubwabwaja maana huelewo chochote.
We wadhani mimi sipendi ela nikareject invitation yake halafu nije telegram kumchezea tu? Huyo ni scammer na post yake upwork waliiondoa baadae.
Sifa ya scammer, uwa anapost kazi wakati hata hajaverify payment method, sasa huo mkataba anakupatiaje, sifa nyingine kazi hiyo hiyo anaweka pesa nyingi na anasema anahitaji watu wengi, na uwa anataka mkapatane nje ya platform.
Huyo kilichokuwa kinafuata ni kuniambie nitume security fee. Same old scamming formula nimekutana nao wengi tu ana ndio maana nilipomwambia wewe ni scammer hakujibu.
 
Ungemtafuta hata Roma ndugu......[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sawa…
kama anataka kukupeleka nje ya upwork platform kwa malipo na baadae kukuuliza ulipe fee, kweli huyo ni scam
Lakini kwanini usilete hivyo vielelezo vya kutakiwa utoe hela ili watu wengine wajifunze sio kuleta vielelezo nusu nusu na kuhitimisha huyo ni scam
 
Scammers wana same stories, sijui uwa na watu wale wale. Nshakutana nao wengi same stories choose sjui your task and blah blah.
So sikutaka tufike huko na post yake waliondoa baada ya muda.
Narudia tena naweza kujua scam kwa kusoma tu post yake.
Niko kwenye hii kazi toka 2013 so nishakutana na mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…